Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,811
- 105,603
Walikuwa wanaamanisha Rais Ajaye, Mbowe hata hakugombea urais 2020! Mbona unahitaji akili kiduchu sana kuling'amua hili!
Sasa ile RAIS RAIS siku ile ilikuwa ya nani? Mbunge wa Nkasi manamtambua- acheni uchuro basi