Dereva wa Kirikuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 751
- 624
TAMISEMI na Ndugu yetu Silinde David..
MachaDema POVUU litawatoka mwaka mzimaa🤣🤣😂😂🤣
MachaDema POVUU litawatoka mwaka mzimaa🤣🤣😂😂🤣
Yaani ni kweli kabisa, hanaga mazongezonge ya ajabu ajabu, na viongozi wengine wajifunze kwa huyo Mzee....huyo ni SHOCKABSORBER
Experience kubwa toka awamu ya kwanza na ualimu wa siasa Jeshini...
He is a THINK TANK...
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020
========
Rais Magufuli pia amewateua
=> Rais Magufuli amemteua Ummy Mwalimu kuwa waziri wa Muungano na Mazingira
=>Rais amemteua Angelina Mabula kuwa Naibu Waziri wa Ardhi
=>Rais Magufuli amemteua Mashimba Ndaki kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi
=>Pia, amemteua Seleman Jafo kuwa Waziri wa TAMISEMI
=>Rais Magufuli amemteua Prof. Adolf Mkenda kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi
=> Pia, amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani
=>Rais Magufuli amemteua Ndumbaro Damas kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii
=>Medard Kalemani ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati
=>Rais Magufuli amemteua Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria
=> Joyce Ndalichako ameteuliwa kuwa Waziri wa Elimu
=>Rais Magufuli amemteua kuwa Mbunge Gwajima Doroth na pia amemteua kuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii na Watoto
=>Rais Magufuli amemteua Dotto Biteko kuwa Waziri wa Madini
=> Faustine Ndugulile ameteuliwa kuwa Waziri wa Wizara Mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
====
1.Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya
6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo
11.Madini Dotto Biteko
12.Nishati Dkt Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Mambo ya ndani George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika.
Msemaji wa ikulu Gerson Msingwa ametwiti muda huu kuwa mh.rais atafanya uteuzi live kutoka ikulu ya chamwino
Fuatilia unaweza ukawepo kwenye list
Wait for more updates
USSRView attachment 1642299
Mzee ana qualities nyingi mno....Yaani ni kweli kabisa, hanaga mazongezonge ya ajabu ajabu, na viongozi wengine wajifunze kwa huyo Mzee
Kwani hilo ni baraza la dini au wanaangalia vigezo ?????????Waswahili na kujipendekeza kote baraza lenye mawaziri 23 waislamu ni waratu tu
Haijawahi kutokea tangu Uhuru wa nchi hii
Mie si mwana siasa lakini huwa namfutilia vizuri sanaMzee ana qualities nyingi mno....
Ni hazina kwa serikali na nchi!!
😲😲Hamisi kanyimwa wadhifa kwa sababu Waislamu MARUFUKU kwenye hili Baraza haramu la mawaziri.
👍Mie si mwana siasa lakini huwa namfutilia vizuri sana
Nadhan bado manaibu waziriKingwawala bashe bashite wapo wapi
hivi hiyo nambari 4 ni kweli au utanihivi
...wameshatajwa!!Manaibu waziri hakuna?