Hata Juma aweso, Majaliwa na Samia ni wakiristu 😅😅
Yapo mapungufu but its okRAIS JOHN MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TANZANIA
Jumla ya Mawazi 21
(1) Ulinzi - Elias Kuandikwa
(2) Mambo ya Ndani - George Simbachawene
(3) Ujenzi - Mhandisi Chamlilo
(4). Afya - Dkt Doroth Gwajima
(5) Elimu - Professor Joyce Ndalichako
(6) Tamisemi - Suleiman Jafo
(7) Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora. - Joji Mkuchika
(8). Muungano - Ummy Mwalim
(10) Kilimo. - Adolph Mkenda
(11) Mifugo. - Mashimba Mashauri Ndaki
(12). Ardhi - William Lukuvi
(13) Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge - Jenister Mhagama
(14) Ofisi ya Rais Uwekezaji - Professor Kitila Mkumbo
(15) Katiba na Sheria - Mwigilu Nchemba
(16) Nishati - Kalemani
(17) Madini - Dotto Biteko
(18) Maji - Juma Aweso
(19) Maliasili na Utalii - Dkt Ndumbaro
(20) Waziri wa Michezo Innocent Bashungwa
(21) Waziri wa Viwanda na Biashara Geofrey Mwambe
Jamaa kadanganywa alikuwa confident atakuwa Waziri wa fedha kapigwa chini na iyo ya Viwanda kapigwa chini. Jiwe hawezi kumuweka mchaga kwenye hizo wizara. Kamuweka tu huyo adolf mkenda uvuvi kupotezea tu ajawatenga wachgaaHapa Charles Kimei anakula shavu viwanda na biashara.
Wakiristo watupu!
Thanks brethren..🙏🙏You are smart my brother..
Hapo >50% ni Wasukuma already.Hahahahaha naye ni Msukuma huyu?
.....watu na viatu...jamaa kakurupuka kumwaga povu
HATUKUTAKI KAMANDAMara paap nimechaguliwa mkuu wa majeshi jambo lolote linaweza kutokea ngoja nifatilie kwa ukaribu
😲😲Hapo >50% ni Wasukuma already.
Weka akiba ya maneno teuzi hazijaisha, unaweza ukamkuta wizara ya afya.Hamis chaaaaaliumbwa wewe
Arudi aendeleze mipasho na Mo maana alinyuti kusikilizia teuzi za uwaziriHamis chaaaaaliumbwa wewe
....huyo ni SHOCKABSORBERGeorge Mkuchika daa sijui ana bahati au utendaji wake ni bora sana, hongera zao anatumia utu uzima wake kwahekima sana
Huyu mwamba anashinda sn social media soo he looks too shallow.. utakuta anatukanana na watu wa jamhur ya fb...Dada amisi kiwangala kanyanganywa ugali wake, alikuwa anabishana sana na kigogo