kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,499
jengeni nchi yenuSisi wazanzibar Serikali hii hatuchomozi kabisa
jengeni nchi yenuSisi wazanzibar Serikali hii hatuchomozi kabisa
😅😅😅😅😅Kuna watu hawatalala leo kwa msongo wa mawazo, kwa kukosa uteuzi.
Dkt. Kigwangalla hana option, zaidi ya kwenda kugombea nafasi ya uongozi Simba SC, ili apate nguvu ya kumdai na kumchamba Muddy zile hela alizo ahidi wakati ananunua hisa.
Pasco Mayalla amejitutumua sana kuweka makala za kumkosha Admini, kuanzia 2015 - 2020, ila nafasi zimejaa so asubiri uteuzi wa mwaka 2035.
😅😅😅😅😅Kuna watu hawatalala leo kwa msongo wa mawazo, kwa kukosa uteuzi.
Dkt. Kigwangalla hana option, zaidi ya kwenda kugombea nafasi ya uongozi Simba SC, ili apate nguvu ya kumdai na kumchamba Muddy zile hela alizo ahidi wakati ananunua hisa.
Pasco Mayalla amejitutumua sana kuweka makala za kumkosha Admini, kuanzia 2015 - 2020, ila nafasi zimejaa so asubiri uteuzi wa mwaka 2035.
jengeni nchi yenu
Kujibisha na wewe kafiri mla nguruwe ni kupoteza mdajengeni nchi yenu
Basi Dotto Biteko all the way.Kwa jinsi Mkulu asivyowapenda kundi "Lile" hoja ya kubadilishana au kupokezana isahau kabisa
Mstaafu huyoHapa Charles Kimei anakula shavu viwanda na biashara.
Haya Mambo ya udini na ukabila ni nonsense, serikali hii siyo ya dini fulani au kabila fulani, Rais anapofanya uteuzi kigezo kikubwa anachoongalia ni uwezo wa mtu katika utendaji kazi. Mawaziri wengi kuwa wakristu ni coincidence tu.Kama umeweza kuwaza kidini na ukahitimisha kuwa wakristo wanastahili zaidi kwa sababu wamesoma na kuelimika zaidi, sasa Waza pia kikabila halafu chambua hivyo hivyo, na tumia sampuli ya makabila ya wachaga(Northen zone) vs wasukuma (Lake zone) kwenye teuzi hizi za leo au hapo kabla.
Nasubiri uchambuzi wako hapa.
Hivyo visingizio vimepitwa na wakati. Simu hizi mambo yamebadilika. Mimi binafsi nawajua waislamu wengi wenye elimu za juu.Kwani uongo mkuu, Waislamu wengi wlithamini elimu ya dini wakapuuza elimu ya dunia, wakati huo wenzao wakristu kila walipojenga kanisa walijenga na shule. Ndo maana shule nyingi zilizotaifishwa baada ya Uhuru zilikuwa za mission.
Limefuata uwiano wa idadi ya wananchi wa Zanzibar ambao 99% ni waislamu.Kule Zanzibar kwa baraza la mawaziri likoje?
Kuchaguliwa takriban 3% ya waislamu kwenye baraza la mawaziri haikuwa confidence.Haya Mambo ya udini na ukabila ni nonsense, serikali hii siyo ya dini fulani au kabila fulani, Rais anapofanya uteuzi kigezo kikubwa anachoongalia ni uwezo wa mtu katika utendaji kazi. Mawaziri wengi kuwa wakristu ni coincidence tu.
Haya Mambo ya udini hayana maana kuyajadili katika level hii, kiongozi awe muislamu awe mkristu ni kiongozi tu. Akiwa muislamu hateuliwi akawe Shehe, au mkristu hateuliwi akawe mchungaji, anateuliwa akaongeze watu wote kwa mujibu wa sheria na katiba.
Tangu nikae Tanzania sojawahi kukutana na mpagani. Kama wapo sijui watakuwa ni asilimia ngapi ya Watanzania wote.Wapagani hatujapata wizara naona mmepeana wakristo na waislamu tu..
hawakuwa na mvuto hao maana hakutakuwa na wapinzani so mbwembwe za kujibu wapinzani hamna. in short hakuna jipyaBavicha wako bize kujadili baraza la mawaziri.
Silinde na katambi waliona mbali wakaachana na ujinga
Mimi naongelea kuhusu waislamu ambao ni wazi wametengwa kwenye uteuzi wa mawaziri. Lakini kama wapagani wapo Tanzania nafikiri pia ingekuwa vizuri nao wakapewa nafasiHao wachache bado ni watanzania na wote tunahaki sawa.. uzuri wapagani elimu ipo ya kutosha
Mkuu onja nguruwe mtam utakuja kunishukuru tena upate na ugali au ndizi mbili na bia saaafiKujibisha na wewe kafiri mla nguruwe ni kupoteza mda