Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Kuna watu hawatalala leo kwa msongo wa mawazo, kwa kukosa uteuzi.

Dkt. Kigwangalla hana option, zaidi ya kwenda kugombea nafasi ya uongozi Simba SC, ili apate nguvu ya kumdai na kumchamba Muddy zile hela alizo ahidi wakati ananunua hisa.

Pasco Mayalla amejitutumua sana kuweka makala za kumkosha Admini, kuanzia 2015 - 2020, ila nafasi zimejaa so asubiri uteuzi wa mwaka 2035.
😅😅😅😅😅
 

Attachments

  • IMG-20201206-WA0001.jpg
    IMG-20201206-WA0001.jpg
    36.3 KB · Views: 1
  • IMG-20201206-WA0001.jpg
    IMG-20201206-WA0001.jpg
    36.3 KB · Views: 1
Kuna watu hawatalala leo kwa msongo wa mawazo, kwa kukosa uteuzi.

Dkt. Kigwangalla hana option, zaidi ya kwenda kugombea nafasi ya uongozi Simba SC, ili apate nguvu ya kumdai na kumchamba Muddy zile hela alizo ahidi wakati ananunua hisa.

Pasco Mayalla amejitutumua sana kuweka makala za kumkosha Admini, kuanzia 2015 - 2020, ila nafasi zimejaa so asubiri uteuzi wa mwaka 2035.
😅😅😅😅😅
 
Baraza Hili Limedhihirisha mambo mawili

1) Ubaguzi
jinsia ; kanda ; dini ( halina usawa wa kitaifa)

2) Dharau
mfano kitendo cha zanzibar kutopewa waziri hakijawahi tokea tangu uhuru

Kubwa RAIS AMEDHIHIRISHA ANAJUA “USHINDI “ WAKE ALIVYOUPATA HIVYO HANA DENI KWA YEYOTE HATA WALE AMBAO KARATASI ZINAONYESHA WALIMPA KURA

kiongozi aliyepora ushindi kamwe hawezi kuheshimu yeyote zaidi ya waliomsaidia kuiba kura kama ma DED wenye viburi
 
Kwa jinsi Mkulu asivyowapenda kundi "Lile" hoja ya kubadilishana au kupokezana isahau kabisa
Basi Dotto Biteko all the way.

So sad kuona Mwingulu pekee kutoka CCM asili active kwenye Baraza la Mawaziri.
 
Kama umeweza kuwaza kidini na ukahitimisha kuwa wakristo wanastahili zaidi kwa sababu wamesoma na kuelimika zaidi, sasa Waza pia kikabila halafu chambua hivyo hivyo, na tumia sampuli ya makabila ya wachaga(Northen zone) vs wasukuma (Lake zone) kwenye teuzi hizi za leo au hapo kabla.

Nasubiri uchambuzi wako hapa.
Haya Mambo ya udini na ukabila ni nonsense, serikali hii siyo ya dini fulani au kabila fulani, Rais anapofanya uteuzi kigezo kikubwa anachoongalia ni uwezo wa mtu katika utendaji kazi. Mawaziri wengi kuwa wakristu ni coincidence tu.

Haya Mambo ya udini hayana maana kuyajadili katika level hii, kiongozi awe muislamu awe mkristu ni kiongozi tu. Akiwa muislamu hateuliwi akawe Shehe, au mkristu hateuliwi akawe mchungaji, anateuliwa akaongeze watu wote kwa mujibu wa sheria na katiba.
 
Kwani uongo mkuu, Waislamu wengi wlithamini elimu ya dini wakapuuza elimu ya dunia, wakati huo wenzao wakristu kila walipojenga kanisa walijenga na shule. Ndo maana shule nyingi zilizotaifishwa baada ya Uhuru zilikuwa za mission.
Hivyo visingizio vimepitwa na wakati. Simu hizi mambo yamebadilika. Mimi binafsi nawajua waislamu wengi wenye elimu za juu.
Kusema eti Tanzania nzima kulikuwa na waislamu 3 tu waliofaa kuwa mawaziri ni kuwakosea heshima waislamu.
 
Haya Mambo ya udini na ukabila ni nonsense, serikali hii siyo ya dini fulani au kabila fulani, Rais anapofanya uteuzi kigezo kikubwa anachoongalia ni uwezo wa mtu katika utendaji kazi. Mawaziri wengi kuwa wakristu ni coincidence tu.

Haya Mambo ya udini hayana maana kuyajadili katika level hii, kiongozi awe muislamu awe mkristu ni kiongozi tu. Akiwa muislamu hateuliwi akawe Shehe, au mkristu hateuliwi akawe mchungaji, anateuliwa akaongeze watu wote kwa mujibu wa sheria na katiba.
Kuchaguliwa takriban 3% ya waislamu kwenye baraza la mawaziri haikuwa confidence.
 
Hao wachache bado ni watanzania na wote tunahaki sawa.. uzuri wapagani elimu ipo ya kutosha
Mimi naongelea kuhusu waislamu ambao ni wazi wametengwa kwenye uteuzi wa mawaziri. Lakini kama wapagani wapo Tanzania nafikiri pia ingekuwa vizuri nao wakapewa nafasi
 
uwaziri sio sadaka/zawadi bali ni mzigo/majukumu mazito ya kuwatumikia watanzania zaidi ya 60million, ukitazama kwa jicho hilo sidhani kama utashangilia wala aliye kosa kamwe hawezi kulalamila, ukimuona mtu analalamika kwa kukosa uteuzi wa uwaziri basi jua kuwa huyo alikuwa na malengo binafsi ya kujinufaisha yeye sio watanzania na ukimuona yeyote anashangilia kwa kupata uteuzi basi ujue kuwa huyo haendi kuwatumikia watanzania zaidi ya tumbo lake na ndugu,
 
Jana baada uteuzi wa Mawaziri na Manaibu hizi ndio wizara zilizopata perfect Combination. Na kwa hakika zitaperform to the Maximum

1. Wizara ya Kilimo
2. Wizara ya Afya
3. Wizara ya uwekezaji.
 
Back
Top Bottom