Ijue Botswana japo kidogo tu

Ijue Botswana japo kidogo tu

Kuna mmoja kasema Daktari ukiwa specialist ndo rahisi kupata kazi ,vipi kuhusu MD na malipo yao yakoje? Na kazi unapataje?
 
nkema idako faza.....
umenikumbusha enzi hizo miss tanzania aliendaga ng'wanza kutembelea makaburi ya mv bukoba igoma huko....sasa kipindi hicho miss tanzania ndio inachanua nsukuma aka ngosha akawa anajua miss tz ndio mwanamke mzuri kuzidi wote tz,,, kafika na baiskeli yake hapo kushuhudia akasonya na kushangaa akapaza sauti "miss tanzania ke ate ni dako " kule uzuri idako faza....mengine baadae
 
Kuna mmoja kasema Daktari ukiwa specialist ndo rahisi kupata kazi ,vipi kuhusu MD na malipo yao yakoje? Na kazi unapataje?
Uhitaji wa madaktari bado upo ingawa kwa sasa wameanzisha college ya medicine na mwaka huu ni graduation ya 4,step 1 reg kwa bhpc then exm ukifaulu unapata licence,ukipata kazi unaomba work permit/residential permit around cost pula 1500,uzuri wa Botswana hata private Hosp au private clinic/polyclinic wanaruhusu foreign doctor sio kama Namibia,registration bhpc pula 30 sawa na tshs 6000 hivi.
Ila ukiwa specialist ni vizuri zaidi,sasa kuna competition kidogo in terms of mds kutoka kwa wazimbabwe halafu hiyo recruitment kutoka kwa college yao.
 
Yaan vitu tofauti kabisa na wasukuma nimeishi huko miaka 4... Hawa maumbile ni kama watu wa nyanda za juu kusini labda wafananishe na wangoni au wasafwa..asili zao zina kalibiana..kwa kutunza asili nikama wamasai
 
Sorry walipata uhuru mwaka 1966 na mwaka jana walisherehekea miaka hamsini ya uhuru wao.
 
Katika nchi za SADC ni Mozambique, Angola na DRC pekee ndio wanaendesha gari upande wa Kulia(wana keep right)
Nchi zote zilizobakia (Tz, Malawi, Zambia, zimbabwe, Botswaana, Swazi, Leso, Namibia na RSA) wote tuna keep left, so Bots kama Bongo tu
A sante kwa darasa zuri mkuu
 
Wasukuma ushamba ni ushamba hata wa wanawake sababu naona wanakushughulisha sana
 
Nasikia watoto wakike huko wana maumbo ya kibantu haswaaa!?
Wana hipsi kama za zebra mkuu! Af ngoz laini, ful kutabasamu mda wote.... Kuna jamaa yangu alioa akazamie kule mpk leo,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom