Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
- Thread starter
- #21
Mmmmhhh ngoja wajeMbana pua maana yake nini? Sisi watu wa mikoani hatuelewi bhanaaaa
Mmmmhhh ngoja wajeMbana pua maana yake nini? Sisi watu wa mikoani hatuelewi bhanaaaa
Poa poa mkuuSamahani mkuu sikuzamilia hivyo, hao wamebipu nami nikanyoka. Tuko pamoja
Mmmmhh hii misemo jamaniMademu rahisi rahisi kama kuvuta hewa hawajui kunyimaa kaharagee kabisa
Na wewe Mkuu uliwala?Mademu rahisi rahisi kama kuvuta hewa hawajui kunyimaa kaharagee kabisa
Oya wewe mbona unatukanaNubebe ntombana![]()

Wakike au wakiume!?Nilikuwa na marafiki wa ki-Swana, wakichinja ng'ombe nyama inapakwa chumvi na kuanikwa juani, italiwa mwaka mzima, kama vile tunavyohifadhi papa kule pwani.
Duh!!Wakike au wakiume!?
Hivi kuna mtu anaweza zamia upande huu harafu asitafute uraia?Sasa ngoshas mnasubiri nini kuhama nchi na bashite wenu!!!
Nasikia watoto wakike huko wana maumbo ya kibantu haswaaa!?Duh!!
Hakuna mkorogo mkuu. Acha tu tufeNasikia watoto wakike huko wana maumbo ya kibantu haswaaa!?
Visa on arrival. Tupo nao kwenye SADCUnaingia na viza.kuna jamaa kaniambia bila viza hauingii
Bhebhe nang'ho, uli na mamihayo madimu sanaAbakima balinamadako matale gudi madandali![]()
Hapo chacha....patamu. Taratibu na gharama zikoje nikitaka kuja kutembea hata wiki moja tu mkuu!?Hakuna mkorogo mkuu. Acha tu tufe
Nimekumiss hadi nimekumisplesiNilikuwa na marafiki wa ki-Swana, wakichinja ng'ombe nyama inapakwa chumvi na kuanikwa juani, italiwa mwaka mzima, kama vile tunavyohifadhi papa kule pwani.
Hivi.ukiwa na passport. Unaonyesha kila border si ndio!?kwa mfano.umefika mpakani tunduma ukaulizwa unakwenda wapi.utajibu nini?na je uhamiaji wanaweza wakakukataza hata kama una passport ya halali.endapo wakijua unapokwenda hauna ndugu wala niniVisa on arrival. Tupo nao kwenye SADC