Ijue Botswana japo kidogo tu

Ijue Botswana japo kidogo tu

Jamaa kazama kwenye kilugha hadi ameacha kujibu maswali, katuacha solemba.

Hapana mkuu, ukweli jamaa zetu wana mila sawa kabisa na wasukuma. Assume ukitaka ufunge ndoa muda mwingine unatakiwa ufanye ya kimila harafu ifuatie ya kidini (wao wanaita Whites marriage). Pia jamaa walinichokoza kwa lugha ya home na mimi sikutaka watoke na ushindi. Am sorry for that buddy
Samahani mkubwa
 
Niko North Province, South Africa lkn misele kibao Botswana. Umbali ni kama kutoka Geita kwenda Mwanza mjini lisaa limoja na nusu kwa private car
North province inapakana na upande upi wa Botswana?
 
North province inapakana na upande upi wa Botswana?
Inapakana na border ya Ramatlabama, mkoa wa kusini ya Botswana sehemu zaPitsane na Goodhope
1ef7cce078898b2cf26c13c33137ce9a.jpg
878ba18235d6d80032b61f8f6a8279ba.jpg
7278002121fb651e182e09e9e3038b19.jpg
 
Inapakana na border ya Ramatlabama, mkoa wa kusini ya Botswana sehemu zaPitsane na Goodhope

Asante kaka, Nimefurahi kusikia hayo maeneo ya Ramatlabana, Pitsane nk, nadhani mji mkubwa hapo ni Lobatse,

Border zingine na south ni Tlokweng ambayo unaingilia Mafikeng (Gauten) kisha Kuna Zanzibar Border post ambayo inaingia Limpopo Province

Kaka nimekaa huko muda wa kutosha vichochoro vyote navijua
 
Hapana mkuu, ukweli jamaa zetu wana mila sawa kabisa na wasukuma. Assume ukitaka ufunge ndoa muda mwingine unatakiwa ufanye ya kimila harafu ifuatie ya kidini (wao wanaita Whites marriage). Pia jamaa walinichokoza kwa lugha ya home na mimi sikutaka watoke na ushindi. Am sorry for that buddy
You dont need to be sorry man ..najua nyumbani ni nyumbani ni katika tu kunogesha mjadala
 
Asante kaka, Nimefurahi kusikia hayo maeneo ya Ramatlabana, Pitsane nk, nadhani mji mkubwa hapo ni Lobatse,

Border zingine na south ni Tlokweng ambayo unaingilia Mafikeng (Gauten) kisha Kuna Zanzibar Border post ambayo inaingia Limpopo Province

Kaka nimekaa huko muda wa kutosha vichochoro vyote navijua
Nimekuwekea na vipicha mkuu si unajua wabongo
 
Asante kaka, Nimefurahi kusikia hayo maeneo ya Ramatlabana, Pitsane nk, nadhani mji mkubwa hapo ni Lobatse,

Border zingine na south ni Tlokweng ambayo unaingilia Mafikeng (Gauten) kisha Kuna Zanzibar Border post ambayo inaingia Limpopo Province

Kaka nimekaa huko muda wa kutosha vichochoro vyote navijua
Mkuu uko wapi kwa sasa? Free state nina mwaliko vipi pako salama?
 
Mkuu uko wapi kwa sasa? Free state nina mwaliko vipi pako salama?

Free state ni jimbo la wazungu by then na mji wake mkuu ni Bloemfontein ni pazuri sana sana, na hakuna sana ujingaujinga kama wa Jos Au Pretoria wa kuchoma visu na bunduki japo matukio yapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom