Igunga OFFICIAL Results: Dr. Kafumu atangazwa mshindi

Igunga OFFICIAL Results: Dr. Kafumu atangazwa mshindi

BAKWATA wameshinda

salah.jpg
 
Juhudi za uchakachuaji za magamba zimefanikiwa,Swali kwa nini hadi waliopata kura chache nao wamesusa kuja? hata jamaa wa solar power nae kasusa, nadhani tusubiri tamko na upinzani hasa Chadema tutajua mengi coz wamekuwa kimya sana,the way magamba walivyo, lazima wamefanya umafia
 
Nasikiliza TBC wamemtangaza mgombea wa CCM mshindi.Siamini. Nadhani Wamechakachua. CDM mapambano yanaendelea ........................................, Never give up!

Huyu jamaa anaetangaza matokeo ni mwajiriwa wa serikali ya CCM. Chadema piganieni TUME HURU ya uchaguzi otherwise tutaendelea kushuhudia mazingaombwe yaleyale.

Kamanda Mbowe, Slaa, Zitto aluta kontinua, tuko pamoja nanyi.

Uko pamoja nao wapi watu wameshindwa kazi, WAFUKUZENI !
 
Haya ni matokeo mazuri sana kwa CHADEMA.

Mtu yeyote mwenye kujua siasa na mwenye akili timamu anaweza kuona kuwa Chadema wamepiga atua sana. Hili jimbo sasa huwezi kuliweka mikoni mwa CCM miaka ijayo au chaguzi zijazo.

Kumbuka Chadema walikuwa hawana nguvu sana katika jimbo hili miaka iliyopita lakini sasa wanawatoa makamasi CCM/Serikali. kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi na kuondoa vyeo vya mkuu wa wilaya na mikoa kuteuliwa na Rais, hapa upinzani ungepita tu. Ndiyo CCM wameweza kutetea jimbo lao lakini wenye akili wameona kuwa mambo siyo rahisi tena kwao.

Nchi hii soon itakombolewa.

Hongera Chadema, mimi naona huu ni ushindi (Najua wenye upeo mdogo watasema ushindi ni ushindi tu lakini sidhani kama CCM wanasherekea kwa moyo wote) Upinzani sasa unaanza kuingia akili mwa watu.
 
Huu ni mwanzo tuu.Uchaguzi ujao CHADEMA itakuwa na mbunge mmoja tu na huo ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA.KWISHA HABARI YAO MAGWANDA.
Umetokea wapi wewe, post 56 vipi umetumwa na Nape nini????????

Matarajio yako ni feki CDM tupo ndio tunazidi kujiimalisha, Igunga last time hatu kusimamisha wala mgombea, sasa tumepata kura 23,000+ pamoja na magwanda yote kuhamia Igunga 2012 unategemea nini???????????

Mtakufa kihoro maana nyinyi hamjazoea kushindwa!!!!!!!!!!
 
CHADEMA wajipange tena kwakweli wanastaili sifa kubwa kwaza wameongeza wanachama mwaka jana hawakuweka mgombea lakini mwaka huu wameonyesha juhudi kubwa
 
BAZIRI REMA MSEMAJI WA CHADEMA
amesema wamegoma kusaini matokeo kwa sababu demoklasia imebakwa na inauwawa na ccm
MWINGULU WA CCM
kasema anafurahi sana hii inadhihilisha kuwa sera zetu zinauzika na kampeni zetu zilikuwa nzuri.ila changamoto ni kwamba CHADEMA ni janga la taifa,tuliruhusu vyama vya upinzani si kufanya fujo
MWAKILISHI WA CUF
Matokeo yametoka jinsi yalivyo stahili.matokeo ni halali
MTATIRO WA CUF
huu ulikua uchaguzi wa fedha ,tume sio huru.mwisho wa siku tutaeleweka kwa wananchi.mia
 
"doing same thing over and ove while expecting different result is definition of CRAZY".
Igunga ni vichaa.
 
Nakumbuka mwaka mmoja mzee Kifimbo alimwambia msimazi wa uchaguzi Zanzibar tangaza sasa hivi kura alizopata Maalim Seif zitamke kwa Dr Salmin. Isije kuwa hayo ndiyo ya Igunga! Anyway hongera Dr Kafumu, ila siku moja mbele ya haki yote yatawekwa wazi.
 
Juhudi za uchakachuaji za magamba zimefanikiwa,Swali kwa nini hadi waliopata kura chache nao wamesusa kuja? hata jamaa wa solar power nae kasusa, nadhani tusubiri tamko na upinzani hasa Chadema tutajua mengi coz wamekuwa kimya sana,the way magamba walivyo, lazima wamefanya umafia

Wengi wa waliopigia kura CCM ni vijijini unataka watoke waje mjini ? Waache washangilie huko huko waliko
 
jamani mmeona yalioyotokea huko igunga? kweli yametokea kwa mapenzi ya watanzania ama ni urasimu uliokidhiri tu?
 
Vyama vya upinzani Chadema,Cuf,na vingine vingi viongozi wao hawaobekani kwenye eneo la kutangazia matokeo ya Uchaguzi tofauti na taratibu za Uchaguzi.
Source ITV

Hakuna siku ambayo Chadema watakubali kushindwa!!! Ila ukweli mmoja ni bayana, kwamba wananchi wa Igunga wameamua. Ushari ni kuwa waache blabla wajenge chama kwa ajili ya 2015. Inaonyesha kwamba demokrasia inasonga mbele. Hongereni wana Igunga
 
CHADEMA wamefanya kazi kubwa na ngumu na wanastahiri kupongezwa, wameangushwa na wanakijiji na inabidi sasa wapiganie kufuta taswira inayojengwa kwamba huko kuwa CHADEMA ni chama cha fujo, ukabila na udini na wanaweza kufanikiwa tu kwa kuhakikisha kuwa wana vyombo vya habari kwa ajiri ya kutangaza habari zao kwa uchanya zaidi kuliko ambavyo sasa inafanyika. Kwa mfano fujo zote zinazofanywa sasa hivi zinatengenezwa kuwa zinafanywa na vijana wa CHADEMA, binafsi siamini kitu hiki. KUNA UWEZEKANO MKUBWA kuwa fujo hizi zinafanywa na vijana wanaolipwa na Nnape, wakitumia jina la CHADEMA ili kuchafua Chadema
 
Back
Top Bottom