Keeper's Finder
Member
- Dec 27, 2010
- 17
- 2
CCM walistahili, hakuna uchakachuaji, ila wakibweteka 2015..
Ujumbe huu umfikie Faiza Fox na team yake!!!!!!!!!!!!!!!!!Haya ni matokeo mazuri sana kwa Cahdema. Mtu yeyote mwenye kujua siasa na mwenye akili timamu anaweza kuona kuwa Chadema wamepiga atua sana. Hili jimbo sasa huwezi kuliweka mikoni mwa CCM miaka ijayo au chaguzi zijazo. Kumbuka Chadema walikuwa hawana nguvu sana katika jimbo hili miaka iliyopita lakini sasa wanawatoa makamasi CCM/Serikali. kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi na kuondoa vyeo vya mkuu wa wilaya na mikoa kuteuliwa na Rais, hapa upinzani ungepita tu. Ndiyo CCM wameweza kutetea jimbo lao lakini wenye akili wameona kuwa mambo siyo rahisi tena kwao. Nchi hii soon itakombolewa.
Hongera Chadema, mimi naona huu ni ushindi (Najua wenye upeo mdogo watasema ushindi ni ushindi tu lakini sidhani kama CCM wanasherekea kwa moyo wote) Upinzani sasa unaanza kuingia akili mwa watu.
watanzania wengi ni wanafiki.
Pole mkuu ila ngumu kumeza
Nakubaliana na Mtatiro kwa asili mia moja! CCM sasa hivi bila kuhonga hawajafanya kampeni! Inasikitisha sana kwa chama ambacho huko nyuma kilikuwa kinaheshimika sana ndani na nje ya nchi sasa hivi kime-stoop so low hadi kufikia kuweka mikakati ya kuwahonga wapigakura ili kishinde!Mtatiro: Tulikuwa na mgombea mzuri lakini tumeshindwa vibaya sana! Bila pesa hupati kura, CCM wamefanikiwa kwa nguvu ya fedha less than a minute ago
yaaani leo usipoangalia utakunywa sumu
jipeni pole wenyewe, mnaziongezea laana kwa kuwadhulumu wananchi wa Igunga.
Magwanda ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Hamkubaliki.
Nina uhakika 100% kama ingekuwa ni level playing field CDM ingeibuka mshindi Igunga...!Haya ni matokeo mazuri sana kwa Cahdema. Mtu yeyote mwenye kujua siasa na mwenye akili timamu anaweza kuona kuwa Chadema wamepiga atua sana. Hili jimbo sasa huwezi kuliweka mikoni mwa CCM miaka ijayo au chaguzi zijazo. Kumbuka Chadema walikuwa hawana nguvu sana katika jimbo hili miaka iliyopita lakini sasa wanawatoa makamasi CCM/Serikali. kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi na kuondoa vyeo vya mkuu wa wilaya na mikoa kuteuliwa na Rais, hapa upinzani ungepita tu. Ndiyo CCM wameweza kutetea jimbo lao lakini wenye akili wameona kuwa mambo siyo rahisi tena kwao. Nchi hii soon itakombolewa.
Hongera Chadema, mimi naona huu ni ushindi (Najua wenye upeo mdogo watasema ushindi ni ushindi tu lakini sidhani kama CCM wanasherekea kwa moyo wote) Upinzani sasa unaanza kuingia akili mwa watu.