Chadema wanatafutwa watoe maelezo kwanini hawajatokea
Kazi yake nzuri
Wakuu jk yupo igunga, sijui kafata nn?
Huyu jamaa uchaguzi wa mwaka jana aligombea kwa tiketi ya CCM lakini akanyofolewa kwenye kura za maoni, naona furaha yake leo iko wazi kabisa, mimi nadhani kama mwandishi wa habari alitakiwa asichague sides waziwazi kiasi hiki, huu unazi ni hatari sana.
mgombea wa CUF kaibuka
na kukubali matokea
Kashukuru wananchi wa Ingunga kuchagua kiongozi anayefaa