UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Huo ndio ukweli wa tulichotokea utake usitake shauri yako, tena mie ndio hawatonipata kabisa maana sina mwili mkubwa kama Hamza sasa yule mwili wote ule ila bado mlikuwa mnapiga pembeni sasa mie si ndio hamtonibahatisha kabisa.Nenda ukasimame na wewe wapige pembeni