Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

ukizinduka ujiunge nami kumsaka anayehack account yangu kila tunapokuwa tunajiandaa kupata mtoto.

Mentor hakika wewe ni farijio langu kila mara,unanifuta machozi pale ninapolia...come zis way pliz nahisi kumchukia Asprin..
anachepuko jingine kumbe mbaya Zaidi ni mdogo wangu Khantwe!!!!!
sitakukana tena Mentor njooo
 
Last edited by a moderator:
Hivi karibuni kwa aliyepima, kituo chochote, aliambiwa kupima ni mara moja kwa mwaka sahizi?si tena ile kila baada ya miezi mitatu @?
Kupima sasa hivi ni kila baada ya miezi mitatu mama tena kama mjamzito unapimwa hata kabla hujaingia labour:gossip:
 
Mentor hakika wewe ni farijio langu kila mara,unanifuta machozi pale ninapolia...come zis way pliz nahisi kumchukia Asprin..
anachepuki jingine kumbe mbaya Zaidi ni mdogo wangu Khantwe!!!!!
sitakukana tena Mentor njooo

İmekuwaje tena mupenzi? Hapo kwa Mentor hapanitii shaka. Ndugu yangu yule huwa tunashea vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom