Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,840
- Thread starter
- #21
umechana ukweli mpaka roho imeshitukaAwe kwenye ndoa au aiswe kwenye ndoa alichosema ni kweli na kipo katika jamii! Tatizo wanaume/wanawake wapenda michepuko hamtaki kuambiwa ukweli!!Ukae ukijua kama mleta thread alivyosema USHAKULA VINGI VYA AJABU BABA!!Endekeza michepuko kwa gia ya stress za ndoa mwisho wake sio mzuri, utapotea