Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

Inasikitisha sana hiki kizazi cha sasa kinapoelekea watu hatuna tena hofu ya Mungu jambo kama hili si la kuhalalishwa,Mke ama Mme uliyenae ni mpango wa Mungu huo kama kuna differences sort them out hii dunia tunapita tu kuna siku utajibu kila kitu ulichokua ukikifanya hapa duniani!samahanini niko ki imani zaidi.
 
Inasikitisha sana hiki kizazi cha sasa kinapoelekea watu hatuna tena hofu ya Mungu jambo kama hili si la kuhalalishwa,Mke ama Mme uliyenae ni mpango wa Mungu huo kama kuna differences sort them out hii dunia tunapita tu kuna siku utajibu kila kitu ulichokua ukikifanya hapa duniani!samahanini niko ki imani zaidi.

I like your attitude!
 
Mkuu, useme ule ukweli... umeguswa sana kuporwa na mume kiasi kwamba umeiandika thread hii kwa uchungu mno. usifiche, tuambie ukweli, mtaje aliyekupora ili tumpe maneno akurudishie mume wako, pole sana.
 
Nilichogundua kuna watu wanashabikia uzinzi na michepuko

Hofu ya Mungu haipo
Kwann uendekeze michepuko badala ya kulinda ndoa yako?
Mlipokosea mrekebishane?
Mnajidanganya hela na mda mnaopoteza kwa micheuko ungewasaidia kwenye maendeleo
Na wadada kutegemea mume wa mtu ni kutokujitambua hujui mwenzio kafight vipi had hapo walipo
Ukiona vyaelea jua vimeundwa
Urahisi ndo unatuletea laana kwa vizazi vyetu.
 
Daaaaaah aisee, ile damu analishwa mtu? Duuu:brushteeth::brushteeth:

Siyo damu tu. Kuna Sr mmoja aliniambia nyama inawekwa kwa K siku tatu inatolewa unapikiwa unakula.
 
Inasikitisha sana..!!
..maadili yameporomoka, si kwa vijana na watoto tu hata watu wazima na kaya zao hawana maadili tena..!!
..mwisho wa siku lazima jamii ikumbushwe, tumepoteza yake tuliyofundishwa, hivyo hata watoto wetu hawajui kitu tena..!!
 
Kadri miaka inasonga na HIV juu ndiyo vibustani na vidumu vinaongezeka. Inabidi kuwe na thread ya pekee yake ili wahanga wa vidumu na vibustani watupe experience na sababu. Inatisha.
 
Kwakweli wanaume wanashida...only God can rescue them ila kwa wale tu ambao watakuwa tayari kumrudia

Kinachonisikitisha ni hii tabia ya kukumbatia maovu, halafu watu hawa hawa wana watoto! Hivi what do they teach them?
 
mchepuko mchepuko kila mtu kaamua kuishi atakavyo
 
Kinachonisikitisha ni hii tabia ya kukumbatia maovu, halafu watu hawa hawa wana watoto! Hivi what do they teach them?

Ndugu yangu mengine yanakuwa ni stress tu mtu hajui wapi aangukie huku ndoa yake imeshasambaratika....
 
hahahaha kaz kwel kwel....kwani ndoa ni nini?
 
FUTURE YA NINI WAKATI PRESENT YENYEWE HUNA.??? SOME OF US LIKE TO LIVE NOT TO SURVIVE AND WE LIVE NOW NOT TOMORROW!

Afu msitake kutuzuga MARRIAGE IS ALL HYPE, BRANDING AND MARKETING! Ila there is nothing so special about anything.

Maisha yanabadilika anaekufaa leo kesho taka taka tu! Na moyo wa mtu kiza kinene! USIESEMEE MOYO WA MWENZI WAKO!

After all it makes sense kuwa mad na mtu mliejicommit nae ila mchepuko hauna deni na wewe!

REEDOM OF SPEECH ITS A FREE COUNTRY!

Mmmh kwahiyo lara 1 we unakamua tu? hautaki kupigwa FREE P????
 
Last edited by a moderator:
Watu walivyomvamia mtoa mada du!!? Ukitaka kuchua sample hapa pazuri.Lakini kaongea ukweli na ndio taswira halisi ya Watu kwa sasa
 
Inasikitisha sana..!!
..maadili yameporomoka, si kwa vijana na watoto tu hata watu wazima na kaya zao hawana maadili tena..!!
..mwisho wa siku lazima jamii ikumbushwe, tumepoteza yake tuliyofundishwa, hivyo hata watoto wetu hawajui kitu tena..!!
Nini kifanyike.
 
FUTURE YA NINI WAKATI PRESENT YENYEWE HUNA.??? SOME OF US LIKE TO LIVE NOT TO SURVIVE AND WE LIVE NOW NOT TOMORROW!

Afu msitake kutuzuga MARRIAGE IS ALL HYPE, BRANDING AND MARKETING! Ila there is nothing so special about anything.

Maisha yanabadilika anaekufaa leo kesho taka taka tu! Na moyo wa mtu kiza kinene! USIESEMEE MOYO WA MWENZI WAKO!

After all it makes sense kuwa mad na mtu mliejicommit nae ila mchepuko hauna deni na wewe!

REEDOM OF SPEECH ITS A FREE COUNTRY!

kwi kwi kwi kwi message sent lol cc Morg
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom