Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

Kwa upande wa wanaume...
1. Aliyelishwa hezi ni mfala maana raha ya nyumba small ni kula chipsi kuku mgahawani au mikarangizo kempiski. Ataingia na kichupa cha hezi kempiski?

2. Kuhonga mali kwa nyumba small sio ishu kwani ni just wealth reallocation.

3. Kusema wanaume wawaongezee wake zao kile walichopungukiwa ni sawa but walichopungukiwa wake zao ni k ya pili maana hao wanaume hawatosheki na k moja. Kama kuna mwanamke mwenye k 2 hapa kidole juu...

Una pointi nyingine?
 
Kwa upande wa wanaume...
1. Aliyelishwa hezi ni mfala maana raha ya nyumba small ni kula chipsi kuku mgahawani au mikarangizo kempiski. Ataingia na kichupa cha hezi kempiski?

2. Kuhonga mali kwa nyumba small sio ishu kwani ni just wealth reallocation.

3. Kusema wanaume wawaongezee wake zao kile walichopungukiwa ni sawa but walichopungukiwa wake zao ni k ya pili maana hao wanaume hawatosheki na k moja. Kama kuna mwanaume mwenye k 2 hapa kidole juu...

Una pointi nyingine?

Haya mambo kweli hayawezi kuisha kwa style hii
 
Back
Top Bottom