Ifahamu Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania- Sehemu ya Kwanza (Utangulizi)

Wajinga ni wengi sana, alafu kwa nn wajinga wengi mmejiunga jf 2022??
Ww ni mjinga sna kbla sijajiunga jf nilikuwa nasoma ujinga wako na upuuzi wako leo nimejiunga rasm nimekuona ulivyo hopless kbsaa

Mm toka mwak 2015 niko jf ila rasm nimejunga juz tu ila wakuda wengi nawapata mno wew ni mmoja wapo ya watu wajinga wajuaji ,wivu mwingi

Unaona mwenzako kaandika thred yake bas wew kutwa nzimaa kushindaa kumchallenge wwe si uandike yako kama unaweza kutuliza akili vizur kam chiga

Acha niku igonore tu
 
Jamani wengine tumekuja kwenye uzi huu kujifunza! Heshimuni hilo pia Chige tunaomba uendelee na maeneo mawili uliyoahidi Jf ni yetu Na Tanzania ni yetu wote ! Natanguliza shukrani
 
Bora nimepita hapa nijue mambo ya msingi kuliko hbr za kina simalenga dimela kumnaza mwanafunzi malay makofi

Njoo wew kijana UMUGHAKA ufahamu vitu hv
Mimi ni bora tu sekta ya kilimo na chakula iongezewe bajeti na utafiti ili matumbo yetu yachangamke tuwe na nguvu ya kunyanduana tukisubiria kufa.
 
Ww ni mjinga sna kbla sijajiunga jf nilikuwa nasoma ujinga wako na upuuzi wako leo nimejiunga rasm nimekuona ulivyo hopless kbsaa

Mm toka mwak 2015 niko jf ila rasm nimejunga juz tu ila wakuda wengi nawapata mno wew ni mmoja wapo ya watu wajinga wajuaji ,wivu mwingi

Unaona mwenzako kaandika thred yake bas wew kutwa nzimaa kushindaa kumchallenge wwe si uandike yako kama unaweza kutuliza akili vizur kam chiga

Acha niku igonore tu
Bwashee kuandika tu hujui, sasa nawezaje kukusaidia kukuondolea ujinga?

Hopless , Hopeless
Kuigonore , Ku-Ignore
 
Jamani wengine tumekuja kwenye uzi huu kujifunza! Heshimuni hilo pia Chige tunaomba uendelee na maeneo mawili uliyoahidi Jf ni yetu Na Tanzania ni yetu wote ! Natanguliza shukrani
Usikonde Chifu, nitapandisha tu uzi....

Sema kwavile hicho kipengele kina mambo mengi sana, na ndo ya msingi zaidi, inabidi nitumie muda kidogo kuchagua baadhi.

Anyway, nitaku-tag.
 
Usikonde Chifu, nitapandisha tu uzi....

Sema kwavile hicho kipengele kina mambo mengi sana, na ndo ya msingi zaidi, inabidi nitumie muda kidogo kuchagua baadhi.

Anyway, nitaku-tag.
Na mimi naomba unitag
 
kwani kakosea nini hapo??!!?? phase ya exploration na phase ya uchimbaji ni vitu viwili tofauti. inawezekana tu aliyefanya exploration akapta pesa yake kutoka kwa mchimbaji, lakini pia hajazuiwa kuomba leseni ya uchimbaji. kwani wakati anaomba leseni ya exploration walikubalina akimaliza hiyo, lazima apewe leseni ya uchimbaji??!!??. makubaliano ya exploration ni mengine na ya uchimbaji ni mengine.
 
Back
Top Bottom