Well well well
Mimi ODM babu yenu Asprin
kwa moyo wa upendo na furaha. Kwa niaba ya mke wangu Masemere na mabinti zangu Matesha na Mamshanga..... Nawatakieni nyie woooote mliochangia hii yuziful sredi ya shem wangu Weekend njema! Mkawakiss muwapendao (sio muwatamanio)
Na hii hapa ni dedikesheni kwa soulmate, shem, na JF MMU members wote...
Penzi nimeshawapeni,
Tafadhali pokeeni,
Nimewakiss moyoni,
sitowatoeni katu.
Mmekuwa wema kwangu,
Shahidi yangu ni Mungu,
Nawakaribisheni kwangu,
Nyoyo zenu ziwe zangu.
Na dua ntawaombea,
Mola atawajalia,
Yote mema ya kufaa,
Yaongoze zenu nia.
Amina tena Amina,
Nasema tena Amina,
Amina tena Amina
Itikieni Amina.
Na Big Brother ODM (Asprin)
Kaunta Ya Juu
Boko Basihaya.