“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

ADI, ungenitaja kama mwalimu hapa nadhani tangazo lingeuza zaidi. wanafunzi,msiogope,bunduki imeshikiliwa na polisi hadi uchaguzi wa igunga upite naendelea kujiorient na wanafunzi,nijue weaknesses zao na strength ili niweze ku-address opportunities na threats,lol (SWOT)


Mbona kwamba wee mwalimu ipo wazi kabisa!!! lol.... PA kataja hilo na nasikia mwanafunzi wako wa kwanza ni The Boss!!
 
yaani hiyo kumbukumbu mpaka nimeshangaaa!! ... anyways ... malizana na ODM kwanza ... l.o.l


ha ha ha.... Nina kumbukumbu ya Tembo hasa kama yanihusu Directly....
ODM hana shida for yupo very understanding.... namforwadia signed docs zooote....lol
(tatizo nae shem wangu hana mzaha... analinda mno....lol)
 
ha ha ha.... Nina kumbukumbu ya Tembo hasa kama yanihusu Directly....
ODM hana shida for yupo very understanding.... namforwadia signed docs zooote....lol
(tatizo nae shem wangu hana mzaha... analinda mno....lol)
(Na una bahati leo nimetoka na upinde nikasahau mishale)
 
sasa ku-type jina unajing'ata ulimi, kukiss unakiss aje babu? kazi ipo.. ngoja nipangiwe jina la kuitwa nawe manake shem wako ana wivu huyo kama nyigu,lol

Shem hebu nikumbushe ulinambia huyu mtu nimwiteje? Nimekoma kung'ata ulimi kutype jinale.
 
kaka sidhani kama tunahitaji kupambana nao ... we need to guide them to get through!

Yeah na kuwapeleka kwenye right track ambapo wanaweza kufikia malengo yao ya maisha
Mambo yote yana muda na sio kukimbilia au kuruka stage
 
Mr.Rocky hivi ni kweli hujamuelewa nyumba kubwa au una twist & turns tu? lol...
nyumba kubwa...hivi inawezekana ee? ---a kiss--- tayari baba mwenye nyumba anausahau uzazi wa mpango?
lakini hakuna mbaya iwapo lengo ni kuamsha hisia....lol....kuna watu wana mfadhaiko balaaa...hahhahah....



I love the invisble.... thats a bit naughty considering the source.....lol
(alafu nilikua naangalia huo ubishani wa R' kwa NK nakataka ona wapi inafika kumbe nawe umeona...)
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
sasa ku-type jina unajing'ata ulimi, kukiss unakiss aje babu? kazi ipo.. ngoja nipangiwe jina la kuitwa nawe manake shem wako ana wivu huyo kama nyigu,lol
Nawe siku hizi huna adabu? Yani tangu lini aliyeniolea mjukuu wangu nikawa shemeji yake? Tena akome na kukomaga!
 
mh, the boss sio repeater huyu? manake shida ya marepeater huwa wanapenda kufanya demo na mwalimu! asije akaning'ata buree!

Mbona kwamba wee mwalimu ipo wazi kabisa!!! lol.... PA kataja hilo na nasikia mwanafunzi wako wa kwanza ni The Boss!!
 
(Na una bahati leo nimetoka na upinde nikasahau mishale)

aaaaiiiiseee!!!

Copied and Filed.

Wenye wivu wakameze viwembe, sie twajilia ma-albatar na kuchumiana makiss ya malovee kwa kwenda mbele...

No body is jealous ODM stop being melodramatic......lol... (nakuchokoza shem)
 
I love the invisble.... thats a bit naughty considering the source.....lol
(alafu nilikua naangalia huo ubishani wa R' kwa NK nakataka ona wapi inafika kumbe nawe umeona...)


Nilikuja kusoma mara ya pili nikasema duh mbona nimekuwa wa ajabu aise
Nilikuwa naelekea kuharibu mbaya
 
ha ha ha.... Nina kumbukumbu ya Tembo hasa kama yanihusu Directly....
ODM hana shida for yupo very understanding.... namforwadia signed docs zooote....lol
(tatizo nae shem wangu hana mzaha... analinda mno....lol)

niko makini best, mambo ya ... " viewer discretion is advised!!"
 
Back
Top Bottom