“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

Mbu mi nakubaliana na wewe pamoja na Shantel kwamba kiss is everything kwenye mapenzi na hasa kwa wale wanaopendana kwelikweli bila kuchakachua hilo penzi. Ndio maana nikasema "that one was greeat" lakini pia naomba kusisitiza kuwa haukuwa mwisho wa dunia na ninaamini the best is yet to come na ndio maana .......sina sababu ya kujuta kabisa.........................lol



Thank you for this post..... Maana nakabwa huku kua haina umuhimu... (Sijui Teamo na MTM wataisoma) lol
 
  • Thanks
Reactions: Kbd
pal this post says you don't have any kiss worth remembering....lol...
Or you just don't give a thot to a kiss as an independent part....
(thou not independent if you look at it.....lol)

unaona sasa?? I do have most romantic moments i always remember, but kissing alone?? Hell no

coz kissing is always like pizza toppings

when i kiss, my hands become busier that almost any other part of my body
 
C'mon Pal....lol... Why is everybody (BB, Teamo, Bishanga, Chauro, ODM)
thinking about the "WET" Part?? Mie association yangu ya WET ipo tu katka maeneo husika....
Shem taratibu....... hii sredi haichelewi kukufanya utoe siri zote za home boy wangu! lol
 
unaona sasa?? I do have most romantic moments i always remember, but kissing alone?? Hell no

coz kissing is always like pizza toppings

when i kiss, my hands become busier that almost any other part of my body
Mate acha kudanganya watu, kwa jinsi navyokujua, we u mtaalam sana wa kukiss........ tena yale makisi ya wizi lol
 
unaona sasa?? I do have most romantic moments i always remember, but kissing alone?? Hell no

coz kissing is always like pizza toppings

when i kiss, my hands become busier that almost any other part of my body


ADI has nothing to add to this post... lol........ For inajieleza vya kutosha!!!
 
Shem taratibu....... hii sredi haichelewi kukufanya utoe siri zote za home boy wangu! lol



Shem hata mimi nimeliona hilo.... Asante kwa kunikumbusha... Where would i be bila your support?? lol
 
au unamwambia mtu kama kimambo kevini wa kinondoni afanye ''deep kissing''.....!mtu anawaza matairi ya magari,anawazaa serengeti na mirungi maisha yake yote....!

kisses itafanyika wapi bana wee....!lakini maisha yanasonga na wana watoto watatu...!

ashadii hii kitu bana ya kisses mi naona ni mambo ya ajabu tu...!kulambana lambana,mara mimate...aah!uchafu bana
watu kama wale huwa wana kiss balaa huwa hamuwaoni tu
 
hahahaaaaaaaaaaaaaaa.....

the best kiss on earth is imaginary, the rest is just a precursor or accelerator to a desired outcome; no wonder it is sexier watching an intimate kiss than kissing with eyes wide open

AshaDii, have you ever wondered why kissing is always supported by caressing and massages?? WELL BECAUSE IT IS ALWAYS DEFICIENT HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Pal this post says you don't have any KISS worth remembering....lol...
Or you just don't give a thot to a KISS as an independent part....
(thou not independent if you look at it.....lol)

c721205ko80.jpg
.....mtm kama tulivyo wanaume wengi tunadhihirisha kwa thread hii tupo 'physically attached' zaidi, yaani mpaka tuguse na kutomasa ndio ashki na mahanjam yanapandisha mizuko zaidi wakati ashadii kama mlivyo wanawake wengi, mpo ki 'emotionally attached' zaidi, ....yaani a kiss haiishii mdomoni tu, inaingia ndani kabisa ku moyo.

....nyote manazungumza lugha moja, lakini from different angles ....jinsi mnavyoyapokea mapenzi, na hili ndilo fundisho la kuzingatia kwamba; matakwa ya mwanaume na mwanamke kwenye love making differs, ---ila with time, care na vijiutundu vya hapa na pale--- mtafanikisha kujuana vyema nini mwenza wako anataka ili naye ajiskie unamtosheleza kwenye mapenzi....
 
Mate acha kudanganya watu, kwa jinsi navyokujua, we u mtaalam sana wa kukiss........ tena yale makisi ya wizi lol

mate hebu soma tena hii post, maana watu watahisi vibaya aisee... yani wewe unajua mimi ni mtaalam wa kukiss??

aisee
 
c721205ko80.jpg
.....mtm kama tulivyo wanaume wengi tunadhihirisha kwa thread hii tupo 'physically attached' zaidi, yaani mpaka tuguse na kutomasa ndio ashki na mahanjam yanapandisha mizuko zaidi wakati ashadii kama mlivyo wanawake wengi, mpo ki 'emotionally attached' zaidi, ....yaani a kiss haiishii mdomoni tu, inaingia ndani kabisa ku moyo.

....nyote manazungumza lugha moja, lakini from different angles ....jinsi mnavyoyapokea mapenzi, na hili ndilo fundisho la kuzingatia kwamba; matakwa ya mwanaume na mwanamke kwenye love making differs, ---ila with time, care na vijiutundu vya hapa na pale--- mtafanikisha kujuana vyema nini mwenza wako anataka ili naye ajiskie unamtosheleza kwenye mapenzi....
another platinum Mbu

i have read that book many times, it was the present i got from Mama Mkwe siku ya ndoa yangu
 
Mate acha kudanganya watu, kwa jinsi navyokujua, we u mtaalam sana wa kukiss........ tena yale makisi ya wizi lol


Tell him shem.....lolz.. (If he is using hands while kissing her, that means there is some rhythm to it)
 
c721205ko80.jpg
.....mtm kama tulivyo wanaume wengi tunadhihirisha kwa thread hii tupo 'physically attached' zaidi, yaani mpaka tuguse na kutomasa ndio ashki na mahanjam yanapandisha mizuko zaidi wakati ashadii kama mlivyo wanawake wengi, mpo ki 'emotionally attached' zaidi, ....yaani a kiss haiishii mdomoni tu, inaingia ndani kabisa ku moyo.

....nyote manazungumza lugha moja, lakini from different angles ....jinsi mnavyoyapokea mapenzi, na hili ndilo fundisho la kuzingatia kwamba; matakwa ya mwanaume na mwanamke kwenye love making differs, ---ila with time, care na vijiutundu vya hapa na pale--- mtafanikisha kujuana vyema nini mwenza wako anataka ili naye ajiskie unamtosheleza kwenye mapenzi....



You have put it so beautifully and accurately... naona this will put this at rest.... NO MATTER ni namna gani most wanawake tujitahidi, we always.. always invest our HEARTS.... A dangerous business... but still business ni demand... I envy Men kwa pande hizi, yaani hata yule ambae ka invest part of his heart hawezi decide mpaka ashirikishe na the Brain.... So not fair at all!!
 
another platinum Mbu i have read that book many times, it was the present i got from Mama Mkwe siku ya ndoa yangu


Your mama mkwe MKAREEEEE!!! Her giving you that book says VOLUMES.... Pal i hope you know how indeed LUCKY you are.... Now I atleast understand a bit why you appreciate your wife.....
 
Soulmate najua umeibiwa password hapa na TF please tell me im right


Gaga Mpenzi usijali... Shantel ni mjukuu tu!! Alafu kakutafuta kweli yaani.... hadi kule kwenye COMPLAINTS kakutafuta na kulalama anahisi kuibiwa...lol... Haya basi hebu tell me KISS gani unaikumbuka (i hope ni ya ODM...lol..thou nina wasi.)
 
You have put it so beautifully and accurately... naona this will put this at rest.... NO MATTER ni namna gani most wanawake tujitahidi, we always.. always invest our HEARTS.... A dangerous business... but still business ni demand... I envy Men kwa pande hizi, yaani hata yule ambae ka invest part of his heart hawezi decide mpaka ashirikishe na the Brain.... So not fair at all!!

[ashadii stick to the topik plz....you are getting emotional ee]
...ni ukweli unaouma...lakini inabidi tu muukubali...otherwise inabidi mwanaume awe jasiri ku kiss bila kutupa mikono na miguu as if ni askari traffic yupo busy pale ubungo anaongoza magari...
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaa Mbu bwana ngoja nikale huku nikitabasamu umenifurahisha sana


[ashadii stick to the topik plz....you are getting emotional ee]
...ni ukweli unaouma...lakini inabidi tu muukubali...otherwise inabidi mwanaume awe jasiri ku kiss bila kutupa mikono na miguu as if ni askari traffic yupo busy pale ubungo anaongoza magari...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
[ashadii stick to the topik plz....you are getting emotional ee]
...ni ukweli unaouma...lakini inabidi tu muukubali...otherwise inabidi mwanaume awe jasiri ku kiss bila kutupa mikono na miguu as if ni askari traffic yupo busy pale ubungo anaongoza magari...


Back to the topic... nimeenda Uzi wa MJ1 ku copy na kupaste
Kwenye uzi wa SRMs one of the Kisses I so Love....

One of my speacial romantic moment happens in a nip...
a nibble kiss on my neck just below my left ear.. him
standing from the back.. not wanting do go third base
but just kissing for the sake of kissing... It always works
wonders... and It infuses my whole with so much love...

(alafu Mbu hua najisaha... hio topic gets me carried away....)
 
Back
Top Bottom