Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,186
- 44,061
- Thread starter
-
- #161
MMM, nawe unatakiwa uwaombe radhi cdm, yaani wabunge wote, plus kamati kuu unaona hawakutoa maamuzi sahihi, eti kuna lack of leadership, hao waliopo si viongozi,ila mawazo zako tuu ndo yako sahihi, eti wasema sitasema tena kwani wewe ni nani hasa, ni zaidi ya CC ya cdm. ubaya wa sisi wabongo tu washabiki sana, leo hivi kesho vile na vigeugeu balaa.
Huyu ana spin mambo hapa na nahisi ni mmoja kati ya waandishi wa habari wa Uhuru, Habari leo au mtanzania toiletpapers.you have your hidden agenda.
it will fail. believe me.
tangaza uchaguzi hata sasa
Ng'wanangwa, hivi unaimani kuwa waberoya ni Chademalist? umejiunga JF lini? take your time, find out the real truth about this crapist utamuelewa kuwa ni ccm anayeleta spins zake hapa.I always feel of Waberoya as a Chademalist who wants to form his own rabel faction.
Huyu mwanakijiji amenichanganya kabisaaa, mpaka sasa sijamuelewa.
Ng'wanangwa, hivi unaimani kuwa waberoya ni Chademalist? umejiunga JF lini? take your time, find out the real truth about this crapist utamuelewa kuwa ni ccm anayeleta spins zake hapa.
Wakati wote wa kampeni alikuwa against Chadema huyu. Muondoe kwenye lsit yako na hata kujibizana naye ni kupoteza muda.
kwa mwanakijiji sina comment namjua na najua udhaifu wake. Akipata machungu harudi nyuma. Hanaweza kupiga kiberiti hata nyumba yake ya manyasi. teh teh teh teh teh
I'm going to say this in very categorical terms. And I mean every single word here in: CHADEMA must apologize to President Kikwete, its members, supporters and all Tanzanians in general. Why you may ask:
a. For leading people to believe that the elections were somehow not as free or fair as expected.
b. By leading people to believe that the presidential election results were somewhat tampered with, sabotaged or somewhat were fraudulent.
c. By suggesting that the National Electoral Commission colluded with CCM to ensure that president Kikwete remain in power.
d. By making people believe that they were the victims of a corrupt political system.
e. For walking out of the parliament when President Kikwete was about to address the nation protesting the legitimacy of the electoral results that put Kikwete in power. We now know that this was a wrong decision bases on what the CC of Chadema has decided.
What does all this mean? It simply means that Chadema has lost the argument on the fairness of the elections. It has lost the argument that NEC somewhat conducted one of the worst elections ever in the United Tanzania. In a long run this is what is going to happen.:
a. CCM will NOT and I'm stating with sense of absolute certainty - WILL NOT initiate or even allow the process to write a new constitution. The best they are going to is a cosmetic amendments to the constitution. Specifically, just those areas that cover NEC.
b. Chadema will go to the next elections from a position of weakness compared to the position it founds itself in during the 2010 elections.
c. Chadema has taken a position of strategic postponement of its internal problems. Once again it seems there is a lack of leadership; while others see the recent moves within Chadema as the most "intelligent" or "strategic" I see them as decisions of political expediency. One, Chadema is not United not in leadership but in vision, decisions and political positions and secondly, they are still thinking in terms of being an opposition party. CCM will definitely will like to maintain that status quo.
In short, Chadema SHOULD apologize, initiate a process of self assessment, correction and rebuilding. Otherwise, LET IT continue to dig its its own grave of political oblivion. They asked the people to support them, they argued for change in their manifesto, but when push came to shovel, Chadema flinched and flinching they continue.
I'm done with one too. Sigusi tena and those are my points and I'm sticking to each one of them.
Either Freedom or Death,
MMM
Watu naona wanaitikia kwa haraka sana bila kutulia chini na kusoma hasa nimesema nini. Ninachosema ambacho labda inabidi nikifafanue ni kuwa Chadema wakisema "wanamtambua Kikwete kama Rais" au kutuambia kuwa kutoka kwao Bungeni hakukuwa na uhusiano wa kutomtambua Kikwete basi kuna matatizo. Nilichokisema based on a different thread (naamini labda ningeweka kwenye ile thread ningeeleweka kwa sababu wengine wamekuja na kuanzia hapa).
Kuna thread tulikoanzia ambayo ilikuwa na ujumbe huo kuwa "Chadema yamtambua JK"; Ilikuwa kutokana na hilo ndio maada hii ilipoanzia. kwamba hawawezi kubadilisha msimamo juu ya jambo kubwa kama hili na wakabakia bila ya kulipa gharama yake.
kwa mfano, Chadema wakisema:
a. Wanamtambua JK kuwa ni mshindi wa uchaguzi mkuu wa 2010 watakuwa wamebadilisha msimamo
b. Wanamtambua JK kwa sababu kura zinaonesha kuwa alishinda kwa haki wamebadilisha msimamo
Lakini wakisema (wote na ndio msimamo wa chama) kuwa:
Tume (chombo chenye mamlaka ya kumtangaza Rais) ilimtangaza JK kuwa ni Rais na hivyo JK ni Rais kwa sababu alitangazwa na Tume - watakuwa hawajabadili msimamo kwani wanaelezea a legal situation iliyopo.
Kwa hiyo, la msingi ni kujibu hilo swali. Na hapa niweke hili neno "kama" - kama msimamo wa Chadema wa kumtambua umebadilika kutoka ule wa awali ni lazima waombe msamaha. Lakini kama msimamo wao ni ule ule basi ni jukumu lao kusahihisha taarifa zinazoonesha au kuashiria kuwa wamebadilisha msimamo. Thats all I'm saying.
C
What is shocking about Chadema is that the election conditions they are complaining of after the elections are the same ones that existed before the elections. They knew NEC was led by presidential appointees. They knew everything. So why act now? It is like entering a match where u know the referee is biased but you chose to play it out any way and complain after the match.
.
Watu naona wanaitikia kwa haraka sana bila kutulia chini na kusoma hasa nimesema nini. Ninachosema ambacho labda inabidi nikifafanue ni kuwa Chadema wakisema "wanamtambua Kikwete kama Rais" au kutuambia kuwa kutoka kwao Bungeni hakukuwa na uhusiano wa kutomtambua Kikwete basi kuna matatizo. Nilichokisema based on a different thread (naamini labda ningeweka kwenye ile thread ningeeleweka kwa sababu wengine wamekuja na kuanzia hapa).
Kuna thread tulikoanzia ambayo ilikuwa na ujumbe huo kuwa "Chadema yamtambua JK"; Ilikuwa kutokana na hilo ndio maada hii ilipoanzia. kwamba hawawezi kubadilisha msimamo juu ya jambo kubwa kama hili na wakabakia bila ya kulipa gharama yake.
kwa mfano, Chadema wakisema:
a. Wanamtambua JK kuwa ni mshindi wa uchaguzi mkuu wa 2010 watakuwa wamebadilisha msimamo
b. Wanamtambua JK kwa sababu kura zinaonesha kuwa alishinda kwa haki wamebadilisha msimamo
Lakini wakisema (wote na ndio msimamo wa chama) kuwa:
Tume (chombo chenye mamlaka ya kumtangaza Rais) ilimtangaza JK kuwa ni Rais na hivyo JK ni Rais kwa sababu alitangazwa na Tume - watakuwa hawajabadili msimamo kwani wanaelezea a legal situation iliyopo.
Kwa hiyo, la msingi ni kujibu hilo swali. Na hapa niweke hili neno "kama" - kama msimamo wa Chadema wa kumtambua umebadilika kutoka ule wa awali ni lazima waombe msamaha. Lakini kama msimamo wao ni ule ule basi ni jukumu lao kusahihisha taarifa zinazoonesha au kuashiria kuwa wamebadilisha msimamo. Thats all I'm saying.
my way back with full blust, 120km/hr bila kujali coner.
Kwa uelewa na ufahamu wa MMM, siyo rahisi kuamini kuwa hayuko popote katika vikao vya maamuzi. hata CCJaliyoipenda sana hakuwahi kuwa na nafasi kwenye kikao chochote. Lakini ni mkosoaji mzuri sana.
Shabiki mzuri ni yule ambaye yuko tayari kuuona uhalisia wa uwanjani siyo yule atakayetamani kufunga tu, hata kama kwa kufunga mshambuliaji angevunjuka mguu.
Mpaka sasa, hatujui uongozi wa Chadema una taarifa gani kutoka ndani ya CCM na Serikali yenyewe na hata wafadhili. Taarifa tulizonazo ni kutoka magazetini tu, lakini tayari lawama nyingi kabisa. Hivi ikitokea tukagundua baadae kuwa huu ulikuwa mkakati makini na sahihi kuliko yote kutokana na taarifa/mazingira ya wakati huu. JE MMM WILL YOU COME BACK AND APOLOOOOOOO OR YOU WILL JUST GO ON AS KAWAIDA?