'Idi Amin Hakuwa Muuaji, Mla Nyama za Watu' - Rais wa Venezuela

ni kiongozi aliyechukiwa na watu wengi, kwa sababu mbalimbali. wengi walimwita dictator, nduli etc. lakini licha ya ubaya wote huo he used to speak his mind. akitokea familia maskini sana, alilazimika kulima mashamba ya watu ili apate hela ya kujikimu na kusaidia familia. through determination he managed to become a president. alichukia UBEPARI NA UVIVU. annexed hereunder is the links of his speech to the cabinet. sisi tunajifunza nini kutoka kwake?

General Idi Amin Dada, Autoretrato (subtitulado en español) 1974 - YouTube

How to lead in Africa.flv - YouTube
 
ni kiongozi aliyechukiwa na watu wengi, kwa sababu mbalimbali. wengi walimwita dictator, nduli etc. lakini licha ya ubaya wote huo he used to speak his mind. akitokea familia maskini sana, alilazimika kulima mashamba ya watu ili apate hela ya kujikimu na kusaidia familia. through determination he managed to become a president. alichukia UBEPARI NA UVIVU. annexed hereunder is the links of his speech to the cabinet. sisi tunajifunza nini kutoka kwake?

General Idi Amin Dada, Autoretrato (subtitulado en español) 1974 - YouTube

How to lead in Africa.flv - YouTube


Yeah, Kwa kuua na Kuchoma vichwa vyao na KUVILA... Naona UMEYAAMINI ya MAANDIKO
 


Yeah, Kwa kuua na Kuchoma vichwa vyao na KUVILA... Naona UMEYAAMINI ya MAANDIKO

Ndugu nngu007, unaweza ukawa sahihi ingawa hakuna ushahidi(direct evidence). wengi wanamjua idd amini kwa video clips or sinema. na sinema zenyewe zilikuwa propaganda kuonyesha udhalimu wa Amini. hata hivyo kwa mwanasalsafa natakiwa kuchukua yale mazuri tu na yale mabaya tunamwachia yeye. Yes! he was a dictator, but he had a good intention to his people.
 
Ndugu nngu007, unaweza ukawa sahihi ingawa hakuna ushahidi(direct evidence). wengi wanamjua idd amini kwa video clips or sinema. na sinema zenyewe zilikuwa propaganda kuonyesha udhalimu wa Amini. hata hivyo kwa mwanasalsafa natakiwa kuchukua yale mazuri tu na yale mabaya tunamwachia yeye. Yes! he was a dictator, but he had a good intention to his people.


Yaani sasa utaniambia alikuwa hateketezi WAPINZANI wake? Ina Maana alikuwa hawanyanyasi Wananchi Wake?

Leo HII Mnawita KAGAME rais Mzuri; Kesho Mtatuambia BANDA roho yake ilikuwa nzuri Tuwaachie ziwa NYAS

Na halafu kulikuwa hakuna BIASHARA ya WATUMWA na MWARABU; hapana tumeyaandika tu kufurahia UWEUSI WETU

* NDIO TANGANYIKA hiyo; kila kitu kimepita; Hata MAENDELEO yameisha...
 
kama umefuatilia video clips kwenye link hapo juu, alimutuhumu foreign minister kwa kuwa mzembe na kutoa taarifa zisizo sahihi. a week later was found dead at nile river. ili maendeleo yaje lazima mbegu(human resource) ife(sacrifice) ili nyingine yenye kuleta matunda iote na kuleta matumaini kwa kizazi kilichopo na kijacho.

Lesson learn:

1: kujituma kwa bidii zote ndio tija ya mafanikio. idd amin professed for self determination.

2: Love your neighbour. ili jamii iishi kwa amani lazima upendo uwepo kuanzia kwa watawala mpaka watawaliwa. tofauti na hapo hakuna dola(serikali ya kitaifa) or state sovereignty. kwa Tanzania, upendo haupo. na kama upo ni wa mashaka na kuigiza. kwani patrotism ya watanzania inashuka kwa mwendo kasi misili ya mbayuwayu.

3. kuwajibisha na kuwajibika. kiongozi aliyekuwa mzembe aliwajishwa kwa staili yoyote(even death). je viongozi wetu hawastahili hukumu ya kifo kwa blunders na majanga mengi waliyotusababishia?


KUHUSU KAGAME:


kagame is doing right. issue ya kuwa dictator au...ni kulingana na definition na perception ya mtu mwenyewe. bse you cant stop people to gossip!!




Yaani sasa utaniambia alikuwa hateketezi WAPINZANI wake? Ina Maana alikuwa hawanyanyasi Wananchi Wake?

Leo HII Mnawita KAGAME rais Mzuri; Kesho Mtatuambia BANDA roho yake ilikuwa nzuri Tuwaachie ziwa NYAS

Na halafu kulikuwa hakuna BIASHARA ya WATUMWA na MWARABU; hapana tumeyaandika tu kufurahia UWEUSI WETU

* NDIO TANGANYIKA hiyo; kila kitu kimepita; Hata MAENDELEO yameisha...
 
search kitu kinachoitwa the most evil men on earth, utakutana alichofanya Idd Amin kwa watu wake.
tena utakutana na shuhuda za manusura, acha tu yule jamaa alikuwa katili kama vile hatakufa, lkn sasa yako wapi!!! kafa na tani saba naye imemfunika kama wale aliowaua
 
Inawezekana amefanya ukatili lakini ni kma wengine africa
Nakumbuka hotuba yake wakati wa vita alisema nyerere anataka kuwafanya waganda kwa kuwaua kama alivofanya zanzibar
Amin aliwafukuza wa Asia kwa kuwaona hwakua wazalendo
AliwApa mali zao waganda kama alivofanya nyerere ambaye naye aliwanyanganya wasia na warabu nyumba na mashamba yao na ma benki na viwanda
Lakini kosa kubwa alofanya amin ni pale aliopo walazimisha maafisa ubalozi wa uingereza kumbeba kwenye kiti na kutangaza yeye ndio mtawala wa uingereza na pale alIoo wasaidia wapelestine kutua ndege ya ufaransa walio iteka ikiwa na mayahudi
Hapo propaganga chafu dhidi yake zikaanza


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 


Yaani sasa utaniambia alikuwa hateketezi WAPINZANI wake? Ina Maana alikuwa hawanyanyasi Wananchi Wake?

Leo HII Mnawita KAGAME rais Mzuri; Kesho Mtatuambia BANDA roho yake ilikuwa nzuri Tuwaachie ziwa NYAS

Na halafu kulikuwa hakuna BIASHARA ya WATUMWA na MWARABU; hapana tumeyaandika tu kufurahia UWEUSI WETU

* NDIO TANGANYIKA hiyo; kila kitu kimepita; Hata MAENDELEO yameisha...

Kwa wenzetu fulani hapa, uarabu ni synonymous na uislam. Kwa vile uislam ni dini nzuri sana tena ya amani inayomjali kila mtu, basi haiwezekani mwarabu au muislam yeyote yule (akiwemo Idd Amin) kuwa mtu mbaya. Hii ni kwa sababu ukikubali kuwa Amini au baadhi ya waarabu ni watu waovu, utakuwa unamaanisha uislam ni mbaya pia. Hili ndio tatizo lililopo kwa wabongo sasa hivi.
 
kama umefuatilia video clips kwenye link hapo juu, alimutuhumu foreign minister kwa kuwa mzembe na kutoa taarifa zisizo sahihi. a week later was found dead at nile river. ili maendeleo yaje lazima mbegu(human resource) ife(sacrifice) ili nyingine yenye kuleta matunda iote na kuleta matumaini kwa kizazi kilichopo na kijacho.

Lesson learn:

1: kujituma kwa bidii zote ndio tija ya mafanikio. idd amin professed for self determination.

2: Love your neighbour. ili jamii iishi kwa amani lazima upendo uwepo kuanzia kwa watawala mpaka watawaliwa. tofauti na hapo hakuna dola(serikali ya kitaifa) or state sovereignty. kwa Tanzania, upendo haupo. na kama upo ni wa mashaka na kuigiza. kwani patrotism ya watanzania inashuka kwa mwendo kasi misili ya mbayuwayu.

3. kuwajibisha na kuwajibika. kiongozi aliyekuwa mzembe aliwajishwa kwa staili yoyote(even death). je viongozi wetu hawastahili hukumu ya kifo kwa blunders na majanga mengi waliyotusababishia?


KUHUSU KAGAME:


kagame is doing right. issue ya kuwa dictator au...ni kulingana na definition na perception ya mtu mwenyewe. bse you cant stop people to gossip!!


Wewe ni MWAFRIKA wa kwanza kukusikia kuwa MAJANGA AFRICA hayakutokea YALIANDIKWA tu kuMNEEMESHA MWAFICA

1. Umejaribu Kutembelea UGANDA? Waganda wengi wakati wa IDD AMIN Walikimbia NCHI yao; Umewauliza walioishi

Wakati wa Utawala wa AMIN?: Nadhani Wahindi waliamua kupanda NDEGE na KUONDOKA

2. Sasa kwanini asizikwe huko kama MFALME alipokufa? Ni nchi moja tu ilimpa ukimbizi SAUD ARABIA; na alitaka nchi nyinginezo sio SAUD ARABIA.

3. Kama Unasema KAGAME ni MZURU; Ukishauam Mwanadamu DAMU yako iko MIKONONI MWAKO MILELE; Sikukatazi Kumkumbatia KAGAME... Historia IPO labda wewe uichengue

4. Tangu lini utajenga MAPYA kabla ya KUKUMBUYA ya ZAMANI; You cannot erase past history from your MIND it is who YOU ARE RIGHT NOW...

5. Waamerika na KKK wana historia na WANAIKUBALI na Wanaishi JUU YA hiyo HISTORIA

NDIO INALOLIJENGA TAIFA LA MAREKANI; Wameyaona MAKOSA YAO Wameandika kuueleza ULIMWENGU MZIMA na VIJANA WAO ili isitokee tena...

Enzi za Utoto wetu hakuna HABARI za UHAKIKA kulizo unazohadidhiwa na BIBI na BABU zenu wewe unaruka ruka

** Sasa MUULIZE JANUARY MAKAMBA ni kwanini alikimbia Kijiji cha MTUKULA yeye na BABU na BIBI YAKE?
 
Uliza vizuri uambiwe wapinzani wa siasa za Karume walikuwa wanafanywa nini na wanapelekwa wapi?
 
Naamini kabisa kila kiongozi anamapungufu yake. Pamoja na mapungufu ya Iddi amini mengine mengi yalikuwa ni propaganda za nyerere ili kuhalalisha vita vya Kagera.
Moja wapo ya mabaya ya nyerer ilikuwa ni kuwafungia watu vifungo vya nyumbani kwao au kuwahamishia kisiwa cha mafia. marehemu Tuntekenke sanga alishaipata hii ya kufungiwa kijijini kwake hakuruhusiwa kutoka kijijini,
 
Idd amini alichukiwa kwa sababu ya Uislamu wake. Mbona George Bush ameua watu wengu kushinda Hitler lakini hakuna anayemsema vibaya? Ni Kadinali Pengo tu katika nchi hii ndo si mdini... Aliwahi kukemea kunyongwa kwa Saddam Hussein!!!!!
 
Mkuu kasema Idi Amin hakua muuaji. Is he serious? Hata kama kulikua na wauaji zaidi yake ni upumbavu kusema this guy was not a killer.

Hugo Chavez hayuko peke yake aliyepotoshwa juu ya Iddi Amin na kuaminishwa eti alikuwa mzalendo kwa nchi yake na hakuwa muuaji. Kuna "movement" ambayo haijulikani sana ilikoanzia lakini inayoendelea kimyakimya ya kumsafisha kiongozi huyu aliyepata kuwa mmoja wa viongozi katili kabisa duniani. Ukweli utabaki ukweli, kwamba Iddi Amini alikuwa kiongozi wa ovyo kabisa katika Afrika na alisababisha madhara makubwa mno katika kipindi chake cha uongozi. Iddi Amin aliwakamata aliowadhania wapinzani wa sera zake, kuwatesa, kuwaua kisha kusingizia ajali. Askofu Mkuu Janane Luwum, Jaji Mkuu Kiwanuka ma maelfu ya watu waliuawa au "kupotea" kiaina. Aliua kuanzia wasaidizi wake, wataalamu, majaji, makamanda wa Jeshi lake aliowatilia shaka ya kutomtii hata wale walioonekana kupata umaarufu wa aina fulani hadi wanawake aliolala nao! Tuhuma za Amin kula nyama za watu hazikutokea Tanzania bali kule kule Uganda, tena kutoka kwa watu waliokuwa karibu naye kabisa na ambao baadae waliitoroka nchi kutokana na hofu. Mwenye kutaka kumjua kidogo Iddi Amin asome kitabu cha Henry Kyemba cha Rule of Terror na majarida mengi tu yaliyomfafanua Nduli yule.
 
chavez ni mwanadamu mmoja wa ajabu sana, akili zake ni kama mla unga, na mbio zake zitaishia ukingoni tu. hana maana katika dunia hii ya leo. ukiangalia anavyojaribu kupambana na wamagaribi, anajilisha upepo tu...na jinsi anavyosapoti iran...hana akili kwa kifupi. amekuwa akisapoti majangili wa colombia kwa muda mrefu mno,
 
ALICHOSEMA HUGO NI KUWA AMIN HAKUWA MUUAJI NA MLA WATU'' kama inavyosemekana''
Mkuu kasema Idi Amin hakua muuaji. Is he serious? Hata kama kulikua na wauaji zaidi yake ni upumbavu kusema this guy was not a killer.
 
he was a boxer
Viongozi wengi wa africa na duniani kote ni wauaji na especially inapotokea kuna upinzani. Hivyo hata Idd Amin lakini among those waliofanya uuaji. Lakini inatakiwa taarifa itolewe bila kuegemea upande wowote. Kwani hata hao waganda wenyewe hawana record exact kuwa jamaa aliua watu wangapi na kwanini.

Wanahisi tu ambacho ni kitu kibaya. Chavez kasema inatakiwa kumuuliza kwanini alisema hivyo? Maana huwa kuna watu wengi wemezuliwa mambo mpaka yakazidi mpaka mfano Saddam Hussein na wengine wengi tu wapo.

Hiyo ufanyika kama umeenda against interests za watu fulani. Hivyo tujiulize kipindi cha amini hakukuwa na watu wanainterest na uganda? If so kama alikuwa muuaji wa kiasi hicho kwanini alipewa ukimbizi wa kiasa?
 
Ndugu nngu007, unaweza ukawa sahihi ingawa hakuna ushahidi(direct evidence). wengi wanamjua idd amini kwa video clips or sinema. na sinema zenyewe zilikuwa propaganda kuonyesha udhalimu wa Amini. hata hivyo kwa mwanasalsafa natakiwa kuchukua yale mazuri tu na yale mabaya tunamwachia yeye. Yes! he was a dictator, but he had a good intention to his people.

I salute Nyerere tena juzi tu nilikuwa na wafundisha wanangu who Nyerere was .waliona Ile movie king of Scotland halafu Nika nunua bigraphy ya Nyerere (history channel ) my husband is very conservative Iakini anamzimia Nyerere kinoma.Nyerere alipigana vita .Chaves alimsaaidia Idi Amini na Nyerere Huku alinunua madude ya vita kwa mrusi.Nyerere unaambiwa alikuwa bonge la commander in chief.Na wanajeshi walikuwa ndio priority ya serikali full benefit .angalieni jeshi la sasa walivyo na njaa.ukonga na gongolamboto ilikuwa wanajeshi na pilot wa wakijeshi wanakaa Huko .bonge la documentary nunueni history channel.summer nawapeleka wanangu butiama maana wanamuona Nyerere Kama Reagan wanangu.kutwaa kuniulizia habari Zake.Namshukuru mungu I saw his presidency and USA watu wengine hawajui Tanzania ila nikisema Nyerere tu wanamalizia Julius ?nasema naaam
 
I salute Nyerere tena juzi tu nilikuwa na wafundisha wanangu who Nyerere was .waliona Ile movie king of Scotland halafu Nika nunua bigraphy ya Nyerere (history channel ) my husband is very conservative Iakini anamzimia Nyerere kinoma.Nyerere alipigana vita .Chaves alimsaaidia Idi Amini na Nyerere Huku alinunua madude ya vita kwa mrusi.Nyerere unaambiwa alikuwa bonge la commander in chief.Na wanajeshi walikuwa ndio priority ya serikali full benefit .angalieni jeshi la sasa walivyo na njaa.ukonga na gongolamboto ilikuwa wanajeshi na pilot wa wakijeshi wanakaa Huko .bonge la documentary nunueni history channel.summer nawapeleka wanangu butiama maana wanamuona Nyerere Kama Reagan wanangu.kutwaa kuniulizia habari Zake.Namshukuru mungu I saw his presidency and USA watu wengine hawajui Tanzania ila nikisema Nyerere tu wanamalizia Julius ?nasema naaam
F.Y.I I kuna watu wanajua wazi Nyerere alikuwa anadhulumu watu wakati wake kulikuwa na dhuluma sana, warabu na wahindi walitaifishwa majumba yao..kama unakumbuka msajili wa majumba.

Wakati Nyerere anatawala Tanzania ilizidi kuendelea na umasikini.

Wakati Nyerere ana tawala kulikuwa nawaziri mmoja anaitwa sokoine alisha fariki alidhulumu sana mali za watu kwa kujidai eti hujumu.

Mimi najua wengi mnampenda Nyerere sababu alikuwa kisha zowea kuwadanganyeni, nyerere kitu alicho fanya cha mana nikugombea uhuru bila vita, lakini baadaye hamjui alicho kifanya zaidi yakupeleka majeshi ya Tanzania kufa kila upande wa afrika kugombania uhuru wakati hauna faida naye.

Kitu nacho kumbuka kizuri cha nyerere alicho fanya kuondoa ubaguzi tu kwa maneno, lakini ubaguzi ulikuwa upo sana, ukiwa muislamu hauendi secondary haswa uwe mwarabu au muhindi.

Lakini kila mtu ana uzuri wake na ubaya wake, hata nyerere alikuwa ana uzuri wake kwa kuchekesha watu, na Idd amini kuna waganda wengi wanampenda kama watanzania wanvyo mpenda nyerere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom