'Idi Amin Hakuwa Muuaji, Mla Nyama za Watu' - Rais wa Venezuela

Yaani, kwa umwagaji damu wote, kula mwanadamu bado nyinyi mnampenda?

Aheri ya Kikwete, hata kama ametufanya Masikini lakini anatuachia roho zetu zipumue mpaka mwenyezi mungu anazichukua


Uhai wetu hauchukuliwi na shetani Idd Amini... Hata kama sipendi Siasa za Kikwete lakini ni bora mara dufu ya Idd Amini

Mara dufu ya Rais wa Rwanda hao wote wana damu za wananchi wao mikononi Mwao

Hongera Kikwete... Haujui jinsi ya kutuondolea Umasikini lakini, hautuchukui Roho zetu kwa mtutu wa bunduki
 
Kweli wewe mpayukaji.... Kwamba Amini yupo sawa na JK?

Amini ni moja ya Strong Leaders ambao wapo katika World history....
Kasoro alio kua nayo ni roho yake mbaya kupita maelezo.
 
Hata iddi amini alikuwa na mapungufu yake but haindoi ukweli kuwa yy alikuwa strong leader hasa ktk kupinga ukoloni mamboleo, Pia ni dhambi kubwa kumfananisha kamanda idd amini na yule muimba taarabu wa bagamoyo tulofanya makosa kumpa gheto pale magogoni.
Solidarity forever.
 
Kweli wewe mpayukaji.... Kwamba Amini yupo sawa na JK?

Amini ni moja ya Strong Leaders ambao wapo katika World history....
Kasoro alio kua nayo ni roho yake mbaya kupita maelezo.

Ni zaidi ya roho mbaya.
Alichukua nchi kwa mapavu, alitumia muda wake mwingi kulinda serikali yake kwa mabavu...
 
nimesoma "between the lines" pamoja na font kuwa ndogo sijaona connection ya heading na maandishi can you elaborate!
 
Yaani, kwa umwagaji damu wote, kula mwanadamu bado nyinyi mnampenda?

Aheri ya Kikwete, hata kama ametufanya Masikini lakini anatuachia roho zetu zipumue mpaka mwenyezi mungu anazichukua


Uhai wetu hauchukuliwi na shetani Idd Amini... Hata kama sipendi Siasa za Kikwete lakini ni bora mara dufu ya Idd Amini

Mara dufu ya Rais wa Rwanda hao wote wana damu za wananchi wao mikononi Mwao

Hongera Kikwete... Haujui jinsi ya kutuondolea Umasikini lakini, hautuchukui Roho zetu kwa mtutu wa bunduki

wanadamu viumbe wa ajabu sana! Hata Hitler ana wapenzi wengi tu pamoja na matendo yake na chuki ya hasa kwa waafrica, bado kuna waafrica wengi wanampenda (na hapa TZ ana wafuasi kibao) so mm sishangai watu kumpenda na kumkumbuka Amin. Warusi pamoja na ubaya wa Stalllin bado kuna wanaompenda! this is a paradox about the dictators
 
.....museveni amekuwa ni janga tayari, lkn still kumlinganisha na idi amin.....! doreen angekuwa wapi kama angeandika kitabu cha kumkosoa "field marshal", kweye enzi zake...? mleta hoja una umri gani? umemsoma vizuri amin? museveni ni janga lkn kumlinganisha na amin........!
 
Yaani, kwa umwagaji damu wote, kula mwanadamu bado nyinyi mnampenda?

Aheri ya Kikwete, hata kama ametufanya Masikini lakini anatuachia roho zetu zipumue mpaka mwenyezi mungu anazichukua


Uhai wetu hauchukuliwi na shetani Idd Amini... Hata kama sipendi Siasa za Kikwete lakini ni bora mara dufu ya Idd Amini

Mara dufu ya Rais wa Rwanda hao wote wana damu za wananchi wao mikononi Mwao

Hongera Kikwete... Haujui jinsi ya kutuondolea Umasikini lakini, hautuchukui Roho zetu kwa mtutu wa wbunduki
We niaje? Unatumia ma**lio kufikiri!!!!
 
Kwa kifupi Kiuchumi Idd Amin alifanya vizuri sana kulika Hata Nyerere.

Idd Amin aliwaandaa watu wake kusoma sana na somo la uchumi lilifundishwa toka skuli za msingi na lilikuwa ni lazima kwa kila mwanafunzi kusoma hivyo kuwezo kutoa wafanyabiashara wa kimataifa wengi sana na kufanya biashara za kimataifa na kuinua uchumi wa nchi yao.

Tanzania wakti ule Ilikuwa uchumi wake unashuka siku hadi siku.

sasa ukiachana na propaganda za kisiasa na ukawatazama na kuwapima viongozi kama Nyerere na Idd Amin kiuchumi utaona Amini yupo juu
sana ya Nyerere.
 
Yaani, kwa umwagaji damu wote, kula mwanadamu bado nyinyi mnampenda?

Aheri ya Kikwete, hata kama ametufanya Masikini lakini anatuachia roho zetu zipumue mpaka mwenyezi mungu anazichukua


Uhai wetu hauchukuliwi na shetani Idd Amini... Hata kama sipendi Siasa za Kikwete lakini ni bora mara dufu ya Idd Amini

Mara dufu ya Rais wa Rwanda hao wote wana damu za wananchi wao mikononi Mwao

Hongera Kikwete... Haujui jinsi ya kutuondolea Umasikini lakini, hautuchukui Roho zetu kwa mtutu wa bunduki

Nafikiri ondoeni hizo propaganda za kisiasa za kusema Amin alikuwa joka kuu.

Labda nikuulize au kama una bahatika kukutana na waganda waulize.

Idd Amin na Obotte nani aliua watu wengi wakati wa utawala wake?

 
sasa huu ni utani, yaani Iddi Amini ni zaidi ya JK, hata kama mambo haya yako taiti lakini si kwa kiwango hcho.

Jk ni mtu wa watu jamani.
 
Tunashukuru kwa taarifa, lakini nadhani tusisahau kitu kimoja kikubwa. Hatukumchukia Idd Amin kwa mazuri aliyofanya, bali mabaya aliyofanya ambayo yalifunika mengi ya mazuri aliyofanya. Idd Amin alikuwa muuaji wa level ya sadist. Aliua watu kwa kufikiri tu wangeweza kumpindua, na aliua kwa njia za kikatili sana, pamoja na kuwataka wapigane nyundo za kichwa wao kwa wao, hadi wa mwisho kupigwa nyundo ya kichwa na agents wake wa State Bureau kama sikosei. Uwezo wake wa kufikiria uchumi ulikuwa wa level ya kufikiri kwamba kama serikali ilitaka hela zaidi, au kuongeza mishahara, basi wachapishe hela nyingi zaidi! Matokeo ikawa ukitaka kununua mkate inabidi uwe na mfuko wa burungutu la hela.

Suala ni kwamba, maendeleo aliyokuwa anaiteleta Uganda ilikuwa ni justification ya yeye kuua watu kiasi kile, na kuvamia nchi jirani kama Tanzania na kufanya mauaji zaidi ya kikatili?

Mfano mwingine mzuri ni Hitler. Hitler alikuwa one of the greatest leaders of the world. Aliinua nchi yake ya Ujerumani kwa kiasi ambapo hakuna mfano. Alikuwa na uwezo wa kuhamasisha Wajerumani wakachapa kazi na Ujerumani ikawa taifa lenye nguvu kiuchumi na kiteknologia pengine kupita yote duniani hadi vita kuu ya pili ilipoanza. Alitaka Wajerumani wote waishi maisha ya juu kabisa, na hata alikuwa mwanzilishi wa gari ya VW (Volks Wagen) ambapo alitaka Ujerumani iwe na gari ambayo kila raia, hata yule wa chini angekuwa na uwezo wa kununua. Na ndio maana ikaitwa volks wagen, ikimaanisha gari ya watu. Ukweli ni kwamba kama sio vita ya pili Ujerumani ingekuwa kwa sasa taifa ambalo hakuna nchi yeyote ingeweza kulifikia, kwa uchumi, teknolojia na kila kitu! Hitler angefikiri vizuri angeweza kutambua alikuwa na uwezo wa kuitawala dunia kwa kutumia nguvu ya uchumi na teknolojia badala ya nguvu ya vita!

Sasa tatizo likawa sera za Hitler juu ya Wayahudi - kwamba ilitakiwa wafutiliwe mbali toka uso wa dunia, na watu wengi wengine, kutia waafrika, ambao haliona kwamba "ni low quality human species, inferior people". Akawa pia na wazo kwamba dunia yote iwe chini ya Ujerumani kwa kuwa wao Wajerumani wangeweza kuanisha aina ya dunia iliyo perfect, si tu katika mambo ya uchumi bali pia aina ya watu ambao wanatakiwa wawepo duniani (warefu, macho ya blue nk). Sijui kama mwenzangu una hizo sifa, la sivyo usingetakiwa kuishi duniani.

Sasa je, tungemkubali Hitler kwa kuwa tu kwa upande mwingine alikuwa akileta maendeleo makubwa kwa Ujerumani ambayo angeweza kuyasambaza dunia nzima?

Kwa hiyo kumlinganisha JK na Idd Amin kwa jinsi unavyofanya si sahihi, bali unapaswa useme kwamba unawalinganisha katika nyanja ipi - mambo ya kiuchumi? Utawala wa kidemokrasia? Miradi ya maendeleo ya nchi? Uhusiano na watu wa jinsia tofauti? Urafiki na raia kwa ujumla? Uhuru wa kujieleza kwa raia?

Tuchukulie uhuru wa kujieleza kwa raia kwa mfano. JK hapa ni sawa na malaika ukimlinganisha na Idd Amin, ndio mana hata wewe umeweza kutoa hii thread. JK angekuwa kama Amin ungekuwa ulishapigwa nyundo ya kichwa siku nyingi - wewe na familia yako, na ndugu zako, na rafiki zako!
 
Linapokuja suala la kulinganisha viongozi wa Afrika, isipokuwa wachache ambao wengi wao leo hatunao (isipokuwa Mugabe kwa ubabe dhidi ya ubeberu na Mandela kwa busara), waliobakia wengi wao walikuwa NYOKA, wanauma na kupuliza.

Lakini kwa nini kuganda kwenye historia wakati tupo katika enzi mpya - ukweli, uwazi, demokrasia, amani, maendeleo dhidi ya "siri za taifa ili kuficha maovu", "domokrasia, bla bla bla nyingi wakati tunaongozwa na madikteta", "kisiwa cha amani wakati watu hawana hakika kesho watakula nini, ikiwa leo walikula, bila ya kusahau adha na kero katika kila huduma muhimu na mahitaji ya msingi", "maisha bora kwa kila Mtanzania wakati ni maisha bora kwa wajanja wachache"....orodha ni kubwa.
 
nyanjura doreen is a hero of our time and a constrain to power hungry leaders, traitor of democracy and cowards of the living truth.
 
nimesoma "between the lines" pamoja na font kuwa ndogo sijaona connection ya heading na maandishi can you elaborate!

[h=1]Nyanjura na Kisubi, ni kizazi kipya cha Uganda na Afrika?[/h]
Mwandishi Wetu


235_nyanjura.jpg



Nyanjura Doreen


APRILI 11 ni siku yenye kumbukumbu nzito kwa nchi za Uganda na Tanzania. Siku kama hiyo mnamo mwaka 1979, majeshi ya ukombozi ya Tanzania na Uganda (wapiganaji wa msituni) yalifanikiwa kumtimua Iddi Amin kutoka Kampala, na kuandikwa historia ya kumaliza utawala wa kimabavu uliokuwa umedumu Uganda kwa zaidi ya miaka tisa.

Hili linashangaza. Ni ujumbe si kwa Rais Museveni peke yake, bali kwa marais wa Afrika ya Mashariki na Afrika nzima: kwamba mabadiliko ya msingi yataletwa na kizazi kipya. Matumizi ya silaha yanapitwa na wakati. Mbele yetu ni nguvu ya kizazi kipya mbayo kuizuia ni lazima mtu awe tayari kuwekwa kwenye rekodi ya mauaji ya kimbari.

Wahenga walisema: “mwenzako akinyolewa wewe tia maji”. Watanzania tunajifunza nini katika serikali ya Uganda kuwakamata na kuwashitaki waandishi?



Mkuu mbona kuna uhusiano kabisa!!!!!

Idd Amin Dada utawala wake ulikuwa ni wa mabavu;

Museven utawala wake ni wa mabavu;

Jakaya M. Kikwete utawala wake ni wa mabavu:

Mfano:-
(1) Serikali kupitia Jeshi la Polisi linauwa raia wasio na hatia.
(2) Kuwatesa raia, wanasiasa, na wanaharakati kwa kuwakamata na kuwaweka Jela pale wanapotetea haki.
(3) Serikali kupitia Jeshi la Polisi linawatesa raia kwa kuwamwagia maji washa na mabomu ya machozi; kisa wanatetea haki zao.


ISIPOKUWA: UTAWALA WA IDD AMIN UTAKUWA TOFAUTI NA J. KIKWETE:

MFANO:-

(1) Idd Amin hakuwa amejilimbikizia mali = J. Kikwete anajilimbikizia mali.
(2) Idd Amin Hakuwa mbinafsi = J. Kikwete ni mbinafsi.
(3) Idd Amin alikuwa tayari kutoa ndege yake ya Rais ili kushughulikia suala la Walimu ili watoto wasome = J. Kikwete hawezi kushughulikia mambo mengi ya jamii. Tumeshuhudia hata mgomo wa madakitari.


Hivyo binafsi kwa makala hii naweza kusema kuwa Utawala wa J. Kikwete unafanana na IDD AMIN kwa kiasi fulani katika mambo mabaya.


UPOLE WETU WATANZANIA UTATUGHARIMU KIASI KIKUBWA!!!!!! NI WAKATI WA KUZINDUKA USINGIZINI SASA


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Ubaya na uzuri wa kitu unategemea na mtu anayekitazama. Mfano, wakati wengine hatuelewi kwanini Al Qaeda au Boko Haram wanaua watu wasio na hatia wengine wanasifu kwamba huo ni ujasiri wa kutimiza wajibu wao wa kiimani.

Kweli umenena!
 
(Proverbs 26:4) Do not answer anyone stupid according to his foolishness, that you yourself also may not become equal to him.

PS: Wewe ni ngosha gani uliyejaa pumba namna hii?

Askari Kanzu, and these are the times when we have to learn to keep quiet to avoid arguing with fools...because people might not notice the difference!!! Udini huu tukiufuatilia sana tutaishia kwenye mashimo ya maji taka tu.
 
Huyu jamaa alikuwa ni entertaining sana. Sidhani kama kuna kiongozi wa Afrika ambaye atamfikia General Idi Amini. Halafu mara nyingine huwa alikuwa anaongea point muhimu.



 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom