kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,221
Jamani wenzenu tumefunga mbona mnataka kutuvurugia swaumu, kucheka sana hakuruhusiwi.Ngoja na mimi niwatafutie tusi fasta, hebu ngoja nicheki na mods kama wameenda break kwanza nilifyatue fasta haalafu baada ya muda nalifuta.....nisaidie kutafuta tusi litakalokidhi haja................