Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Mbunge wa Kinondoni, akiomba mwongozo kuhusu kauli aliyotoa Meya wa Dar kuhusu UDA kwamba kuna wabunge wanafikiri kwa makalio na sio akili.
Amesema kauli hiyo inadhalilisha bunge zima na imetolewa na kiongozi mkubwa. Amehoji ni hatua gani ichukuliwe
Amesema kauli hiyo inadhalilisha bunge zima na imetolewa na kiongozi mkubwa. Amehoji ni hatua gani ichukuliwe