zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
Sikujua kama upo uwezekano wa kufikiri kwa kutumia alosema Masaburi.
sema ma'sitting usione aibu
Sikujua kama upo uwezekano wa kufikiri kwa kutumia alosema Masaburi.
mayor yupo sawa-hio kauli haidhalilishi bunge zima-asi-generalise-maana wabunge wanotumia ubongo tunawaona-na wanaotumia makalio pia unaweza waona kama huyo mayor alivyawaonaMbunge wa Kinondoni, akomba mwongozo kuhusu kauli aliyotoa meya wa Dar kuhusu UDA kwamba kuna wabunge wanafikiri kwa makalio na sio akili.
Amesema kauli hiyo inadhalilisha bunge zima na imetolewa na kiongozi mkubwa. Amehoji ni hatua gani ichukuliwe
Hapo kazi ipo!!>>>>>>>>>>>>Kama ni kwa wabunge wa Dar hakika akili zao ziko huko huko,Tena huyo Zungu ndo usiseme kabisaaaaaaaaa ...........................Kalio lake la kufikiri yamkini ni la kushoto!!!!!
Ukweli unauma sana...Tena alisahau kuongezea kuwa makalio yenyewe ya Kichina na ndio maana wanalilia posho za vikao maana makalio yanachoka mno kufikiri huku yakiwa yanaelemewa na uzito wa vitambi vyao.
<br />Makalio aka MATAKOZ.
![]()
Hii kali sana Meya wetu huyo asiye fikiri kwa kutumia makalio!!!!!
kuzacha mghoshi, nzahewa kuita kwe ndima, gai hejina mavuta, aha ntajata wa miundi, mosie newakaje visiku vya wanine zawe.
<br />Makalio au a nus?
Hatushangai magamba wakiendela kuchambuana hadi watapigana wao kwa wao..maana wabunge waliochaguliwa kihalali kama wa cdm hawafikirii kwa kutumia makalio ndio maana huwa wanatolewa bungeni na wale wanaofikiria kwa makalio...halaaah cdm twende kaziSasa wanachukia nini???,mbona wanalipwa sitting allowances ili makalio yao yasichoke kufikiri!!!Huu ujinga na uozo wote unaotokea nchini ni sababu ya maamuzi yao ya hovyo.Big up Masaburi!
Andika kiswahili wewe...Tuzi lako!Mosie baba, aho uzaaonga kwei maaaha, mahundo yangwei mgoshi
we Tuzi, andika kiswahilikuzacha mghoshi, nzahewa kuita kwe ndima, gai hejina mavuta, aha ntajata wa miundi, mosie newakaje visiku vya wanine zawe.