Hali imebadilika katika uwanja wa mapambano Euro wamefunga anga lao kwa ndege aina yeyote ya Russia. Marekani anaenda kutangaza jambo zito kwa dunia usiku wa leo.
Russia ameviambia vikosi vyake vya silaha za maangamizi kuwa tayari. Wakati hayo yanatangazwa German na Euro wanapeleka vifaa vya kivita Ukraine.
UK hajaongea jambo lolote wala Marekani under carpert inasemekana mataifa haya pamoja na mataifa siwezi kuyataja wapo ktk vikao vizito vya siri.
Maana kule China nako kuna nuka while Korea kukiwa nako na harufu ya ICBM.... Test jana.
Ombea dunia, mimi tangu asubuh nasali
Russia ameviambia vikosi vyake vya silaha za maangamizi kuwa tayari. Wakati hayo yanatangazwa German na Euro wanapeleka vifaa vya kivita Ukraine.
UK hajaongea jambo lolote wala Marekani under carpert inasemekana mataifa haya pamoja na mataifa siwezi kuyataja wapo ktk vikao vizito vya siri.
Maana kule China nako kuna nuka while Korea kukiwa nako na harufu ya ICBM.... Test jana.
Ombea dunia, mimi tangu asubuh nasali