idara ya usalama wa taifa mwenye macho haambiwi tazama na mwenye akili timamu hutambua jambo kwa ulindembwe wa ufahamu wake. nyie ni maharamia wa nchi yetu wala haihitaji kujikosha. mnanyanyasa sana wanyonge. nakama mngekuwa na nina yakufanya mlichoajiliwa yanayotokea nchi mwetu mungeweza kutoa taarifa mapema ila kwa sasa mko kwa ajili ya matumbo yenu na kutetea viongozi wa ccm