Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Watu nanacho sahau ni kwamba Usalama wa TAIFA sio jeshi la POLISI, hawausiki kukamata waharifu wala kuwapeleka mahakamani, hiyo ni kazi ya POLISI.
Wote lao moja...sasa kama raisi anasema haijui richmond na wala wamiliki wake ni kazi ya nani kuchunguza...nchi za wenzetu kitendo cha kuomba visa tu wananza kukufatilia in/out lakini sisi vibaka wa uchina wana kuja kuwekeza tanzania matokeo yake wanauza yebo yebo...kudadadeki yaani unaweza kupolomosha matusi mpaka ukapigwa ban kwa ujingwa wa serikali hii.