snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
MI NAKUZIDI KIDOGO!video ilifanyika mwaka na nusu uliopita sasa but quality ake ni kama vids za leo....i just lurv him way too much
WAY TOO APRIL AISEE!
MI NAKUZIDI KIDOGO!video ilifanyika mwaka na nusu uliopita sasa but quality ake ni kama vids za leo....i just lurv him way too much
hahaMI NAKUZIDI KIDOGO!
WAY TOO APRIL AISEE!
We ukizeeka lazima yaani lazima uwe MCHAWI
Mimi alishanichosha tangu siku ya kwanza kisikia wimbo umepigwa na huyo lizer wa wcb nilishasemaga hakidhi vigezo, hata vya hapa nyumbani.Umeongea fact yani lizer anaharibu nyimbo zao kwanza beats zake zinafanana halafu now kwakweli zishaanza kuchosha.
Bora angekuwa anahamahama kama zamani mara kwa man walter mara kwa manecky mara kwa kjt hapa angekuwa ashpiga goma na touch sasa huyu lizer anazingua yani
Basi acha amuamini, azidi kutoa madudu ambayo hata Bet anayoisema anaweza asiingie tenaDiamond anamuamini Lizer...
Na kwakuwa anamuamini,kijana atakuja kuwa vizuri tu..!
mimi alishanichosha siku nyingi ... na beat zake...Kwa kweli laizer hata mimi anaanza kunichosha aisee Mond inabidi arudi hata kwa tudd tu abadilishe radha ya beat.
Bila shaka hizi ni akili za shabiki wa man united au manyumbu unitednaweza mfananisha mond na ronaldo watu wa kupambana na kujitoa kwenye kazi# zao jamaa akoseagi
Hahahaa....DIAMOND ni NYARA ZA TAIFA!
Kwanini!?Hivi wakuu huyo Harmonize amekuwa mcheza show wa Diamond siku hizi???
Nauliza tuu
Laizer ndiye anaharibu nyimbo za diamond yani mi beat yake sijui ikoje hata mimi najiuliza ina maana team nzima.imeshindwa kung'amua hiloMimi alishanichosha tangu siku ya kwanza kisikia wimbo umepigwa na huyo lizer wa wcb nilishasemaga hakidhi vigezo, hata vya hapa nyumbani.
unajua kuwa kuna producer wanatengeneza beat afu unapachika sauti tu...
sasa beat likiwa baya ina maana hata uimbe nini kitakua kibaya, ndio diamond sasa...
lakini sielwi kwanini haelewi hilo ,kama mimi mtazamaji nmeshaliona tangu zamani.
waweza sikia diamond Ft future beat by Lizer... hapo ndipo ntakapo mu- unfollow kabisa...
maana sasa hivi analeta mazoea sio mziki
Kweli ameanza kuish kwa mazoea na sasa hivi jina alilojenga ndilo linambeba siyo mziki mzuri ambao unaangushwa na mi beat ya laizerBasi acha amuamini, azidi kutoa madudu ambayo hata Bet anayoisema anaweza asiingie tena
diamond kaanza kuishi kwa mazoea kama tabia za kiba
Ndio maana nasema diamond ameanza kuishi kwa mazoea sasa...Laizer ndiye anaharibu nyimbo za diamond yani mi beat yake sijui ikoje hata mimi najiuliza ina maana team nzima.imeshindwa kung'amua hilo