Papupi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,026
- 3,231
Basi Mrisho mpotoUna mahaba yaliyopitiliza
Basi Mrisho mpotoUna mahaba yaliyopitiliza
Unatumia simu gan mkuuMbona siioni hii video
Haujaachaga majungu tu!!Mimi nasubiri video from my kingkiba
Narudia tena... hizo ramli zako zimeanza kupigwa miaka kadhaa iliyopita:Najua hutaki kukubali maana unategemea career yake uishi lakini huo ndio ukweli. Jiandae tu kukubaliana na ukweli. This is a bitter truth as it is hard to swallow, it is painful truth.
January 27, 2015:Kinachoendelea saiv ni kwamba washabiki wameanzisha kampeni ya kutomsapport tena Diamond kwa kuacha kumpigia kura katika tunzo anazoshindania.
Namuonea huruma sana..
November 20, 2014:Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na muziki,
November 30, 2013:Diamond kweshiney nimesiki huo wimbo wake hamna kitu
Tena kuna vijana wengi tu wameachia ngoma zao week hii wamemfunika chibu bye bye Domo mr nice yuleeee anakusubiri kona bar mkacheze pool table!!
March 21, 2011:...Baby Madaha alisema kwamba, Binafsi niliposikia kwamba Diamond anaumiza kichwa kunasa penzi la msanii Elizabeth Michael maarufu kwa jina la (Lulu) sikushangaa hata kidogo. kwa sababu nilitambua kwamba soko lake la muziki limeanza kushuka hivyo lazima atafute eneo lingine la kujiimarisha kibiashara, ili jina lake liendelee kuwika.
Hao ni Wapiga Ramli wenzako ambao, kibarua ulichoanza wewe leo hii wenzako wameanza kukifanya zaidi ya miaka 5 iliyopita!!!namhurumia dogo almas toka pa shoka hapaingii kisu na soon ataanza kushuka kimuziki huyu wema nae kama katiwa ndimu!
Mpaka leo hii unasifia vichupa...wenye akili timamu walishahama huko!!Diamond hajawahi kuniangusha hasa kwenye vichupa
We ukizeeka lazima yaani lazima uwe MCHAWINajua hutaki kukubali maana unategemea career yake uishi lakini huo ndio ukweli. Jiandae tu kukubaliana na ukweli. This is a bitter truth as it is hard to swallow, it is painful truth.
Sasa lemutuz utaachaje kuzipenda wakati ulikuwa unambebea viatuWow nimezipenda
Wenye wivu watakuwa wengi, ila hawajui ndio wanampa bonge la promo.
mwaka wa tatu huu sasa bado maneno yenu hayo hayokazi za huyu jamaa za sasa sio kama za zamani. hata maini kushtuka tuu hapana just watching kama vikatuni.... tbe man is really falling.... producer wake anazingua nae...
Kanywe nae chai. Unajua tofauti ya ushabiki na kulv? upuuzivideo ilifanyika mwaka na nusu uliopita sasa but quality ake ni kama vids za leo....i just lurv him way too much
Ushauri wako uko vizuri sio kama hawa wengine wenye majungu.I like 'I miss U' hasa ile original version iko ina-sound poa ila Laizer apunguze yale matarumbeta sijui naona battle na wale wapopo wa Nageria imekua ngumu tena ukiangalia joint zao walizo toa recently ziko mbali sana na hizi mbili za Chibu,our kiddo need to roll up his sleeves naona ame-relax kidogo.
Namuamini Chibu kwenye promo hope atazosogeza hizi ngoma angalau tuwashtue kidogo hapa kati wametusahau kama tuna exist hatuna ngoma kwenye mzunguko.