mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
SECOND VIDEO
FIRE: Diamond Ft Tiwa Savage...
Namuona mange kwenye I miss you
SECOND VIDEO
FIRE: Diamond Ft Tiwa Savage...
IpiNayo ni nyimbo ile
Kwa kweli laizer hata mimi anaanza kunichosha aisee Mond inabidi arudi hata kwa tudd tu abadilishe radha ya beat.ila jamani hivi diamond haona kuwa lizer ana mshusha? producer hana ubora kwrnye fire kapiga madudu sana... hivi madale hakuna sanduku la maoni au ndo waha????diamond hasikii haelezeki ..
zamani alikua mtu wa kukamatia fursa sasa hivi ungesikia hio fire imepigwa alikopiga davido if...
yani alikua anakamata fursa ajabu
..
sasa hivi kamng'ang'ania huyo lizer ambae hata ttouch hamfikii ampigie ma beat msanii mkubwa kama yeye ,anatiaje aibu!!!! hivi akina babu tale na salam nao hawajaliona hili?
au hawajui beat linabeba wimbo? hivi davido katika if & fall ameimba nini? ila beat
au hajui kwamba darassa akitoka kwa Ttouch atafulia? Beat ndo mpango mzima kwakweli
Diamond anamuamini Lizer...ila jamani hivi diamond haona kuwa lizer ana mshusha? producer hana ubora kwrnye fire kapiga madudu sana... hivi madale hakuna sanduku la maoni au ndo waha????diamond hasikii haelezeki ..
zamani alikua mtu wa kukamatia fursa sasa hivi ungesikia hio fire imepigwa alikopiga davido if...
yani alikua anakamata fursa ajabu
..
sasa hivi kamng'ang'ania huyo lizer ambae hata ttouch hamfikii ampigie ma beat msanii mkubwa kama yeye ,anatiaje aibu!!!! hivi akina babu tale na salam nao hawajaliona hili?
au hawajui beat linabeba wimbo? hivi davido katika if & fall ameimba nini? ila beat
au hajui kwamba darassa akitoka kwa Ttouch atafulia? Beat ndo mpango mzima kwakweli
Ahahaaaaah...Last kicks of a dying horse...let kina ray vanny take over
Umeongea fact yani lizer anaharibu nyimbo zao kwanza beats zake zinafanana halafu now kwakweli zishaanza kuchosha.ila jamani hivi diamond haona kuwa lizer ana mshusha? producer hana ubora kwrnye fire kapiga madudu sana... hivi madale hakuna sanduku la maoni au ndo waha????diamond hasikii haelezeki ..
zamani alikua mtu wa kukamatia fursa sasa hivi ungesikia hio fire imepigwa alikopiga davido if...
yani alikua anakamata fursa ajabu
..
sasa hivi kamng'ang'ania huyo lizer ambae hata ttouch hamfikii ampigie ma beat msanii mkubwa kama yeye ,anatiaje aibu!!!! hivi akina babu tale na salam nao hawajaliona hili?
au hawajui beat linabeba wimbo? hivi davido katika if & fall ameimba nini? ila beat
au hajui kwamba darassa akitoka kwa Ttouch atafulia? Beat ndo mpango mzima kwakweli
This is what we callLast kicks of a dying horse...let kina ray vanny take over
MB DOG afadhali!Hizo ramli zimeanza kupigwa miaka kadhaa iliyopita kiasi kwamba, hivi sasa labda angekuwa kwenye benchi moja na akina MB Dog!!!!