Anguko la Diamond Platnumz

Anguko la Diamond Platnumz

Mwagito255

New Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
2
Reaction score
1
Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na muziki,

badala yake huu uzembe unawapa nafasi vijana kama Wiista ( https://www.youtube.com/watch?v=JTzhUrRuKHo ) Yamoyo Band ( https://www.youtube.com/watch?v=k7uMsGcNqmA )kuja kwa kasi ya ajabu na labda braza kaka asipokaa sawa..............
 
wivu wa kike

unalinganisha mrisho ngassa na samata, wapi na wapi
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na muziki, badala yake huu uzembe unawapa nafasi vijana kama Wiista ( https://www.youtube.com/watch?v=JTzhUrRuKHo ) Yamoyo Band ( https://www.youtube.com/watch?v=k7uMsGcNqmA )kuja kwa kasi ya ajabu na labda braza kaka asipokaa sawa..............

Tanzanians can do well without music anyway!
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na muziki, badala yake huu uzembe unawapa nafasi vijana kama Wiista ( https://www.youtube.com/watch?v=JTzhUrRuKHo ) Yamoyo Band ( https://www.youtube.com/watch?v=k7uMsGcNqmA )kuja kwa kasi ya ajabu na labda braza kaka asipokaa sawa..............

Kwa hiyo umejiunga JF ili uje umponde Diamond?
 
Kila ukilala unamuwaza diamond ili ashuke chini.wivu wa kike


swissme
 
Hahaaaaaaa jf kiboko hawadanganyiki hata kidogo tu
 
Au we mke wa YAMOTO BAND nin?Taarifa yako ipo kishakunaku zaidi.
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na muziki,

badala yake huu uzembe unawapa nafasi vijana kama Wiista ( https://www.youtube.com/watch?v=JTzhUrRuKHo ) Yamoyo Band ( https://www.youtube.com/watch?v=k7uMsGcNqmA )kuja kwa kasi ya ajabu na labda braza kaka asipokaa sawa..............

hapa sio facebook kijana kama I.Q yako ni 35>>0 tafadhali tupishe rudi facebook kwa wambea wenzio
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na muziki,

badala yake huu uzembe unawapa nafasi vijana kama Wiista ( https://www.youtube.com/watch?v=JTzhUrRuKHo ) Yamoyo Band ( https://www.youtube.com/watch?v=k7uMsGcNqmA )kuja kwa kasi ya ajabu na labda braza kaka asipokaa sawa..............

Mziki upo Tofauti sana na unavyo waza dada....! Sijui heshima gani unayo ongelea wewe wakati kila siku ndio anapata jina maradufu, sahivi diamond ni nyota wa eastafrica nzima Alaf hao uliowataja mmoja simjui na hao yamoto wako vizuri Lakin bado sanaaaaaa kuanza kusema wanaleta ushindani.
 
unachokisema ni kweli,hata ukiangalia trend yake kwenye media imepungua.kwa mfano,blog ya bongo5 ambayo ilikuwa inatupia hadi 3 post za diamond kwa siku,imeonekana zimeshuka na kuanzia wiki iliyopita wamepost post kama mbili tu,ile ya kiboko yao concert,na kile kilichotokea kiboko yao concert kuhusu hirizi walizozikuta pale kwenye concert.pia blog za nigeria ambazo zilikuwa zinapost post nyingi za diamond,katika wiki hii hawajapost kitu zaidi ya kile walichodai kuwa jamaa ka realis ngoma mpya ya KAMWAMBIE kumbe sio.blog moja tu ya ghana ilipost post ya diamond katika wiki nzima.uganda,wamepost moja tu ile ya UMAARUFU WA ZARI UMEONGEZEKA MARA TATU BAADA YA KUWA NA DIAMOND na hiyo post iliweza kuwa posted na baadhi ya blog nchini kenya.ukija south afrika,hakuna blog hata moja waliopost post ya diamond.nje ya afrika ni TRACE TV pekee yake ndio waliogusia ishu ya diamond baada kuiweka nyimbo ya NTAMPATA WAPI katika 10 best videos from afrika.ukweli umaarufu wake umedrop katika wiki iliyoisha na hii inayoendelea
 
User Name: Mwagito255
User Title: Junior Member
Last Activity: Yesterday 15:33
 
issa ramadhani 14:17 Today

we jamaa Muombea wenzako wafe nenda kajibu hoja yako kwenye post ya Proff Mh Lipumba
 
Last edited by a moderator:
Kumchukia mtu aliyefanikiwa hakukuondolei wala kukupunguzia umasikini wako...bali utayaona mafanikio yako endapo utaamua kuacha kufuatatilia mambo ya watu ambao hawana tija kwenye maisha yako na kuanza kufanya kazi kwa bidii kubwa kwani huo MUDA unaoupoteza kumjadili mwenzio anajenga maisha yake ili aje kuishi kwenye ndoto zake...AMKA KIJANA.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom