I miss those days

I miss those days

hahahahahahaha.....mkuu,yale matando na makoko yalikuwa matamu kuliko ubwabwa wenyewe!
Mi nilipigwa mwiko wa paji la uso na housegirl,hadi leo nna alama ya milele!....surprisingly,ndo akaja kuwa mama wa my first-born!..jembe langu la ukweli sana leo!
mmeoana?..............
 
mmeoana?..............

hapana!...ila tuko poa sana hadi milele!....tukimuangalia mwanetu mengi sana yanapita vichwani mwetu!....unfortunately,hakubahatika mtoto mwingine,kwahiyo huyu ndo "roho" yake!..na mimi ndo "jembe" langu!
Maisha haya yana mengi sana!..but I thank God for everything!
No regrets!
 
Ndio mshakuwa wazee tena, ni mwendo wa kukumbuka za 80's na 90's.
 
Yeah, i miss those days where you could catch up while dancing like ooh brother how are you, how is your family while the music is playing.

i miss those days where you could write a love letter and get a reply from your woman.
 
Zamani Watanzania kila nchi tulijua imetupita kimaendeleo
watu walikuwa wanazamia hata Mozambique ...

Ebana eeeh hiyo ni kweli kabisa.

Nakumbuka kuna watu walikuwaga wanaenda Zaire kununua viatu na kuja kuviuza Dar.

Basi wengine tulikuwa tunaona Zaire imeendelea sana.

Mi nakumbuka kuna mjomba'angu mmoja hivi mjeda...aliendaga Msumbiji akarudi na nyanya za kwenye kopo [tomato paste] na corned beef za huko.

Basi nilikuwa naona jamaa wameendelea sana hadi wanatengeneza nyanya za kopo.

Hahahaa ujinga kitu kibaya sana.

Manake kigezo cha maendeleo tulichokuwa tunakitumia ni cha vitu na si watu.

Wakati maendeleo ya kweli ni ya watu na si vitu.
 
na shati za bahama na kiatu cha MOKASINI....

Moka zilikuwa zinawekewa vi chuma flani hivi kwenye visigino [ile sehemu ambayo hulika].

Basi ukitembea kwenye sakafu lazima vitoe mlio flani hivi....
 
duu nimekumbuka kitaaambo karatasi za maua maua za kuandikia barua,mpeleka barua kwa Arusha tulimwita pikipiki posta..jaman jaman.
 
I miss those days, kombolela na vyakula vya asili. Thread kama hii vitoto kama Evelyn Salt miss chaga na Angel Nylon havikanyagi

Hahahaaa umenikumbusha mchezo ya zamani looh, kombolela, kibaba baba na kimama mama, mate ka, kula mbakshie baba, kiskio poo, rede, vichupa daah.
Ila hapo kwenye kombolela kujificha watu ndo tulijifunzia mechi za mchangani. Unakuta umejificha na mvulana ambaye unampenda na mko wawili tuu mlipojifichia .......
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa umenikumbusha mchezo ya zamani looh, kombolela, kibaba baba na kimama mama, mate ka, kula mbakshie baba, kiskio poo, rede, vichupa daah.
Ila hapo kwenye kombolela kujificha watu ndo tulijifunzia mechi za mchangani. Unakuta umejificha na mvulana ambaye unampenda na mko wawili tuu mlipojifichia .......

Kula mbakishie baba imenikumbusha mbali sana. Kule nilikozaliwa pia kulikuwa na michezo maarufu ya kupigana mawe. Ugomvi lilikuwa suala la kawaida sana.
 
Kasinde ndio maana shikamoo jazz wakitia timu kwa mabinti hawachomoi siku hizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom