Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
- #61
I miss those days bibi harusi anatembea kwa miguu toka nyumbani kwao to Church na from church to husband's home.
I miss those days bibi harusi anakula keki na kushushia na chai ya moto.
I miss those days hakukuwa na michango ya sherehe za harusi. Sherehe zilikuwa zinafanyikia nyumbani na wachache waliokuwa na uwezo walipeleka
ukumbini.
I miss those days hakukuwa na kitchen party zaidi ya bibi harusi kufundwa nyumbani na Shangazi zake.
I miss those days kilikuwa na inner party baada ya sendoff na harusi. I miss those days hakukuwa na catering services wala mc na mziki, vyote hivyo vilikuwa vinapatikana kati ya ndugu wa sherehe kwa kunitolea.
I miss those days bibi harusi anaingiza ukumbini akiwa anaangalia chini na anatembea step za pole pole tap....tap.....tap
I miss those days looh