umenikumbusha zamani simu mpaka ipite kwa operator,waweza ukapiga weeeee unasubiri uunganishwe na operator. operator aliweza kusikiliza kila mnachoongea.
kulikuwa pia na simu zile za reverse call(tuliziita RIVASKOO).Unapiga kwa operator kisha yeye anakuunganisha na simu unayotaka kupiga kisha makato yanakuwa sio kwako ila kule ulikopiga...hii ilikuwa maarufu sana kwa wanafunzi wa sekondari wa shule za bweni.....
Ahhh...enzi za benki ya posta na vile vitabu vya posta haha utadhani pasipoti ya kusafiria.
Pasipo kusahau na mashati ya 'juliana'...
Mkuu umenichekesha madeni china naikumbuka Sana hii
Ni kweli maana wana art ya kipindi kile so unique and romantic looh. Hata sie jazz band hatuchomoi, sio mvulana sasa hv a nakwambia. .. mi najua kuchinja viazi hadi maji ya natoka. Unabaki khaa hapo ndo kamaliza kutongoza heheeKasinde ndio maana shikamoo jazz wakitia timu kwa mabinti hawachomoi siku hizi.
Those days nimechapwa sana Kisa kombolela, nimechapwa sana Kisa vibarua vya mapenzi nmekula chunvi ujue tehI miss those days, kombolela na vyakula vya asili. Thread kama hii vitoto kama Evelyn Salt havikanyagi
Kioo kiooo alikivunja naniii
'
Unaikumbuka Kasam Paida Karne Wale Ki'?