Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Yaani izi swaggs za juzi sana
Za jana hata sio juzi
Yaani izi swaggs za juzi sana
Hahahaa mkuu nimecheka sana hiyo madeni china...ndo zilikuwa zangu kumbe tulikuwa wengi lol.... Heaven Sent we ulikuwa unasomaje kwa mfano
Mi nilidhani wewe ni dotcom kumbe akina sisi....Hii thread imenifanya nijue wazee wenzangu!
Hahahaa mkuu nimecheka sana hiyo madeni china...ndo zilikuwa zangu kumbe tulikuwa wengi lol.... Heaven Sent we ulikuwa unasomaje kwa mfano
I miss the days when X-mas was X-mas. Enzi bila kicks zinazowaka chini, sikukuu haijawa.
Those days mnacheza magoli madogo, unacheza kipa na ndani.
Them days nilikuwa naisubiria Ijumaa kwa hamu ili niicheki Renegade ya Lorenzo Lamas.
Hawa watoto wa siku hizi wanakosa vingi mno.
Zangu zilikuwa Fresh Prince, Family matters, na Hangin' with Mr Cooper. Kipindi hicho unakariri episode nzima, ili ikiisha mnafanya version yenu na brothers.Unakumbuka series ya LIFE GOES ON? Nilikuwa siikosi...
Zangu zilikuwa Fresh Prince, Family matters, na Hangin' with Mr Cooper. Kipindi hicho unakariri episode nzima, ili ikiisha mnafanya version yenu na brothers.
afu we umenizarau hivo.i miss those days, kombolela na vyakula vya asili. Thread kama hii vitoto kama evelyn salt miss chaga na angel nylon havikanyagi