AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
<br />
<br />
hahaha! Kloro amenipa sh mia mbili ya noti. Hajui cku hizi hazitumiki.
aisee huo utani... niliahidiwa si chin ya M 1... hapa namfuata tu Uporoto...
<br />
<br />
hahaha! Kloro amenipa sh mia mbili ya noti. Hajui cku hizi hazitumiki.
<br />hheheheh dah ungewajua hawa majirani wenyewe! dah! mwenye zambi ndogo basi anabaka mbuzi! yaani mimi ndio mtakatifu wa hiki kitaa.
<br />
<br />
hahaha! Kloro amenipa sh mia mbili ya noti. Hajui cku hizi hazitumiki.
<br />aisee huo utani... niliahidiwa si chin ya M 1... hapa namfuata tu Uporoto...
sadaka alikuwa anazinunulia make up na lipustiki. wamemtimua!
usmwambie mwenyewe lakini.
Hahahah..
Kweli umepatikana!!
<br />khaaaa! unachafua CV mama!
ha ha ha... hataona post yako bada ya kusoma na delete...
Jamani hili suala la pesa laniuma... naenda kumtafuta Uporoto popote alipo!
<br />sadaka alikuwa anazinunulia make up na lipustiki. wamemtimua! <br />
usmwambie mwenyewe lakini.
<br />
<br />
nina sabuni hapa usihofu tutaifua.
uporoto kapoteza fahamu leo ya tatu! waswahili wamemuibia jeans yake ya pekee alioletewa kutoka botswana ambayo aliwahi kumtongozea lizzy.
Hapa naona panazidi kunoga!kesi haijaisha mkuu, nareport kwa mods!
<br />
<br />
khaaa! Hlf nilikulipia ile bili yako ya viwembe. Vikiisha nione.
Ahsante kwa uelewa.
<br />heheheheh hakyababu anaesema husninyo katulia basi anapata zambi
Dah! Hio kali... nani anamhudumia?? (inatakiwa apone.. si unaelewa pesa tena....lol...)
Hapa naona panazidi kunoga!
Naomba niwe wakili kwa muda..
<br />
<br />
husninyo kawa sista. Ashadii na babu asprin wanalitambua. Sitaki kufanya wala kufanywa matusi. Naongea maneno matakatifu tu.
<br />sisi underage hatutumii viwembe bana! niombe razi
<br />njoo PM basi nikuharibie maisha
<br />
<br />
hahahaha! Wewe mwenye kubwa umebaka mende.