Sasa the boss hiyo sex atafanya nae vp ilhali hata kumwambia anampenda bado
Hujawahi kuwa na casual sex na mtu?
no relationship no commitment? just casual tu...
We umewahi..?
Hujawahi kuwa na casual sex na mtu?
no relationship no commitment? just casual tu...
Katika maisha yangu yote kosa ambalo sitalirudia maishani mwangu ni kuwa na sexual relationship na mfanyakazi mwenzangu.
Mhhh hii ngumu sana! Mpaka ifikie huko lazima kuwe na attachments
ngumu but possible
Ha haa haa Aisha Jenifer Latisha.....or is it a relationship?
Nah...those are called side-pieces or jump-offs....
Mtaalam
Usiseme chochote, muombe siku moja aje kwako muwe wawili tu alafu kaoge ukiwa na kanga moja tu alafu lowesha kanga maji kisha ivae upite mbele yake ukae kwa muda kidogo alafu dondosha kanga kama bahati mbaya alafu iokote jifanye kukimbilia chumbani. Ukiwa ndani vua hiyo kanga ubaki kama ulivyozaliwa kisha piga kelele muombe msaada kwamba umeanguka unaomba msaada. Akija mwambie paja limeshutuka. Hakianane akikwepa mtego huo huyo sio lijari. Baada ya mtihani lete mrejesho kitakacho kupata.
how different with casual?