vasco da gamma
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 409
- 133
Habari zenu Guys.... mc u so much...... natumain wote mko poa.... jamani mwenzenu nimempenda Mkaka.... mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi.... natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.....i don knw wat to do.... i am in love
without communication, there is no relationship, without love without respect, there is no love, without trust there is no reason to continue...
if you like him tell him coz he won't wait forever..