I love him

I love him

kwanini ulijiita matumbo?

hebu google maana ya Excel then uje tuzungumze.

una swaga flani za ki-ally remtullah au Martin kadinda....matumbo ndio majina tunayoitana uswahilini kwetu.
 
Last edited by a moderator:
oops mie sina mwaya , i was kidding tu ndo maana nikacheka
Nataka nipitishe mchango JF mnichangie maana maharusi mnachanga wewe nichangieni bathi na mie
Idea ya mchango nzuri ila mie mtupu kabisa hata nashindwa kudanganya. Na kwa kuwa hata kinywaji sina, pledge yangu itakuwa less than or equal to zero. Ila kuna vijana wa mjini hapa. Naomba waendelee
 
Anachohitaji hapa ni kugegedwa na huyo jobmate wake. Hii ni njia rahisi yakukamilisha tamaa zake za mwili. lakini kama anataka kupendwa hadi kuolewa njia hii haifai 100% coz jamaa atajua demu huyu ni kicheche hivyo atafute njia nyingine yakufikisha ujumbe kwa muhusika.

indeed
 
Price kuna kipindi ulituambia wewe ni bikira na sasa I doubt kama habari ile ni ya ukweli maana sio sifa za bikira kusema mvulana anaye mpenda na kuwa tayari kupoteza bikira yake

Sifa zako leo zimeangukia kwa akina dada wazoefu wa ngono wasio ogopa ku express feelings zao

Pole.. nakujibu leo.... ndo mana nashindwa kumwambia coz si mzoefu wa mambo hayo... na si kwamba ninampenda nisex nae hapana, na ningependa tuwe na uhusiano....
 
Pole.. nakujibu leo.... ndo mana nashindwa kumwambia coz si mzoefu wa mambo hayo... na si kwamba ninampenda nisex nae hapana, na ningependa tuwe na uhusiano....

wow...! i miss you price!

Je.... t? lol
 
vous manquez trop Excel ..... Je suis en amour mien. Guy j'aime je ne sais pas si il se sent la même chose que je fais. Je veux être avec lui
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom