I love him

I love him

Habari zenu Guys.... mc u so much...... natumain wote mko poa.... jamani mwenzenu nimempenda Mkaka.... mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi.... natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.....i don knw wat to do.... i am in love
Kwenye mzunguko wa mapenzi..loe cycle...hicho ndio kipindi kitamu kuliko vyote...enjoy tht feeling coz mtapoanza..itapanda then itaanza shuka!
 
Hebu mtafute Kasinde mama ya makrashi atakupa mbinu za kuzeza na hilo lihendisamu lako...
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu Guys.... mc u so much...... natumain wote mko poa.... jamani mwenzenu nimempenda Mkaka.... mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi.... natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.....i don knw wat to do.... i am in love

Price kwani uko ofisi gani.
 
Habari zenu Guys.... mc u so much...... natumain wote mko poa.... jamani mwenzenu nimempenda Mkaka.... mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi.... natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.....i don knw wat to do.... i am in love


Dah!!....naona jamaa akijuwa huyu, lazima atafanya sherehe maana hizi bahati za mtende zipo chache sana hasa hapa bongo.
 
Nipe hela kwanza ndiyo nitafanya

pesa.jpg

fanya mambo sasa
 
Habari zenu Guys.... mc u so much...... natumain wote mko poa.... jamani mwenzenu nimempenda Mkaka.... mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi.... natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.....i don knw wat to do.... i am in love

Mie ndo maana sitaki hapo baadae Mke wangu afanye kazi,,,niko radhi niwe na mlipa mshahara tu kila mwezi lakini akae nyumbani!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom