I love him

I love him

Habari zenu Guys.... mc u so much...... natumain wote mko poa.... jamani mwenzenu nimempenda Mkaka.... mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi.... natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.....i don knw wat to do.... i am in love
Kwanini ushindwe nanyi mpo Nigeria pamoja, au anauhusiano na Boko Haram ?
 
mahipsi baby kwa ofisi ninayofanyia kazi hamna mrembo hata mmoja. Si unajua waindi wanavyopenda kuajiri wastaafu.
haha poleh kama ni mstaafu ts owky ila kama still kijana nakushauri utafute kazi kwa nguvu cz u nid beautiful ladies besides when ua doing zats so called work................thats motivation
 
Usiseme chochote, muombe siku moja aje kwako muwe wawili tu alafu kaoge ukiwa na kanga moja tu alafu lowesha kanga maji kisha ivae upite mbele yake ukae kwa muda kidogo alafu dondosha kanga kama bahati mbaya alafu iokote jifanye kukimbilia chumbani. Ukiwa ndani vua hiyo kanga ubaki kama ulivyozaliwa kisha piga kelele muombe msaada kwamba umeanguka unaomba msaada. Akija mwambie paja limeshutuka. Hakianane akikwepa mtego huo huyo sio lijari. Baada ya mtihani lete mrejesho kitakacho kupata.

hiyo ni njia ya kumuonyesha mtu unampenda au kuonyesha that he turns u on??!... coz nashindwa kuelewa hiyo ndo speaking through actions au?
 
hiyo ni njia ya kumuonyesha mtu unampenda au kuonyesha that he turns u on??!... coz nashindwa kuelewa hiyo ndo speaking through actions au?
Anachohitaji hapa ni kugegedwa na huyo jobmate wake. Hii ni njia rahisi yakukamilisha tamaa zake za mwili. lakini kama anataka kupendwa hadi kuolewa njia hii haifai 100% coz jamaa atajua demu huyu ni kicheche hivyo atafute njia nyingine yakufikisha ujumbe kwa muhusika.
 
hiyo ni njia ya kumuonyesha mtu unampenda au kuonyesha that he turns u on??!... coz nashindwa kuelewa hiyo ndo speaking through actions au?
Anachohitaji hapa ni kugegedwa na huyo jobmate wake. Hii ni njia rahisi yakukamilisha tamaa zake za mwili. lakini kama anataka kupendwa hadi kuolewa njia hii haifai 100% coz jamaa atajua demu huyu ni kicheche hivyo atafute njia nyingine yakufikisha ujumbe kwa muhusika.
 
Fanya kazi wewe mapenzini subr. Eti unashndwa kufanya kaz wakat kaz yenyewe ulimalza viatu kuizungukia.mxyuuuu
 
Sasa unashindwaje kufanya kazi ,Akili inahama?
pole sana ..feedback haha
 
take a break and analys: Je, katika judgement ya haraka, kuna uwezekano wa kuwa pamoja? Yaani una kitu kinachoweza yeye pia kumvuta kwako? Iwapo jibu ni no then endelea umia tu. Iwapo kuna yes or most probable, then start acting: Omba misaada isiyo na burdens, kukusindikiza atm, kwa lunch, kusikiliza starter ya gari yako inavyotoa kelele ya ajabu etc, the far from office the better. All the best na usigonge jiwe.

unajuaje kama ana gari ha ha
 
unajuaje kama ana gari ha ha
Kwa kweli sina uwezo wa kujua nini anacho na nini hana. Huo ni mmoja wa mifano tu ambao dada anaweza kuchagua. Badala ya gari unaweza weka baisikeli, pikipiki nk. Ila nafurahi kututaarifu kuwa analo gari. One day labda tutapata lift. Pia kwa ndani ya moyo wangu, kweli nilifikiri kuwa kwa wana JF wengi, kuwa na gari sio big deal sana. Inawezekana nakosea. Cheers
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom