Ukimpa mume wa mtu bure si bure utakuwa umrogwaaaa na aliekuroga katangulia kitambo!Bhuuuu....
Una bahati umekutana na mianaume mibweg.e Mie mme wa mtu na sichuniki kivile. Nakugegeda na hela yangu utaisikia tu. Hongera unakutana na midume mibweg.ee K zilivojaa hapa mjini, we chuna tu huko Temeke.... Tuliozaliwa hapo Ocean Road utatusikizia Chuda tumetekwa na watoto wa kitanga...
KOKUTONA Na Ennie msije hili jukwaa la wakubwa
Fidel80 kwa ajili ya kumbukumbu ya chama.
Ukimpa mume wa mtu bure si bure utakuwa umrogwaaaa na aliekuroga katangulia kitambo!
MIE NIMPE BURE NA MKEWE AFANYE KAZI GANI? Manake watu wanaoa ili wapewe bureeeee!
Pole yao hao wanaokugeeni bureeeeee watakuwa na genye kweli kweli. Si masikhara!
Lara wewe bado Hujakutana na wanaume!trust me,watakumega na hela hupati (mind u atakuwa Mume wa mtu pia)na mwisho wa siku wewe ndo utamtafuta na kumtoa lunch na dinners! Subiri tu,iko siku utanasa tu!ila usisahau kuja hapa kukiri!
Kwanza kabisa niseme am new to JF and this is my first post.
Najua kwa jinsi nilivyokuwa nikifuatilia post za hapa kabla ya kujiunga rasmi, kwa nature ya post yangu kuna watakaonishambulia sana, plz dont do that. Kama una la kunishauri its ok, kama huna pita tuu coz, matusi hayatasaidia kitu.
Mimi ni mwanamke umri wangu miaka 26. Baba ni marehemu, tumebaki na mama tuu na kaka na wadogo zangu. Mama hana kazi ya maana ni house wife. Na ndugu zangu pia wengi ni kujishikiza tuu hakuna ajira iliyo ya uhakika. Mara baada ya kumaliza kidato cha nne nilianza mahusiano na kaka mmoja ambaye alikuwa mfanya biashara na hatimaye nikapata ujauzito wake, hivi ninavyozungumza nina mtoto wa kiume umri miaka 6. Huyo mpenzi wangu alinifanyia visa vingi sana ikiwa ni pamoja na kunifanyia mambo ya ushirikina kiasi kwamba nilihamia kwake bila hata ya ndoa rasmi, na kila ndugu zangu wakija wakiniambia kitu nilikuwa nawaona hawana maana. Ikafika hatua huyu bwana akawa ananisaliti lakini hata sikufanya lolote, ndugu wanakuja kunitaka niachane naye lakini nikawa nawadharau.
Mwisho wa yote, mama akaja na mchungaji na viongozi wa kanisa wakaniombea wakati bwana wangu hayupo ndo akili ikanirudia, nikatafakari maisha ninayoishi. Nikaamua kurudi kwetu. Mama yangu akafurahi sana na ikawa mwisho wa mahusiano yangu na huyu bwana, japo alinidhulumu mpaka hela zangu lakini sikuona thamani ya hiyo hela kuliko ukatili aliokuwa ananitendea.
Nikiwa nyumbani kwa mama, nilikaa muda mrefu bila kupata mwanaume wa kunioa, kama mjuavyo sisi akina dada tuliozaa basi kuolewa inakuwa tabu siku hizi. Nikaamua kuwa sihitaji kuwa na mwanaume. Wakawa wanakuja wanaume ambao kimsingi sio waoaji, bali wanaotaka mechi tuu. Siku moja nikiwa kwenye basi Ubungo terminal naenda mkoani nikakutana na kijana fulani ambaye namfahamu kiasi. Ameoa na ana familia (mke na watoto). Tukasalimiana na kufahamiana kwani alikuwa ananifahamu kwa sura lakini hata jina langu alikuwa hajashika sana. Kilichofanya nimfahamu haraka ni kuwa tunaonana kanisani na mama yangu huwa anampenda sana yule kijana, yaani kila tukienda church lazima mama akamsalimie yule kaka na kumwambia karibu nyumbani. Kuna wakati tulipatwa na matatizo fulani yule kaka akawa anakuja kutusalimia na kumfariji sana mama na kuomba nasi.
Basi tukiwa hapo ubungo tukapeana namba za simu na mimi nikaanza safari. Jioni alinipigia simu kunijulia hali kama nimefika salama. Baada ya hapo ikawa sms za kawaida, mara ikawa za kuforwadiana, zikawa za jokes, etc. Siku moja na yeye akiwa safarini tukatumiana sms za usiku mwema, then akaniambia "karibu tulale wote.."
In short nikiwa katika hali ya ukame wa mombasa raha kwa muda mrefu, nafsi yangu ghafla ikamzimikia yule kaka nikajikuta katika msisimko wa hali ya juuu. From there nikajikuta katika dimbwi la mapenzi na mume wa mtu.
Umri wake ni 30s, ana kazi nzuri, mrefu mweupe si mwembamba wala si mnene sana. Really handsome. Huyu kaka anajua kufanya mapenzi sijawahi ona hapa duniani. Bwana wangu wa zamani alikuwa hajui hata kunifikisha kileleni, lakini huyu mume wa mtu dah!!! He can run the game for about 40-50 minutes. Na nikiamua kuspend usiku mzima na yeye anaweza kunipeleka hata round tano in a night na zote akahakikisha mimi nafika kwanza kileleni then ndo yeye afuate. Kufuatia hali hiyo nimejikuta nachukia wanaume wengine wote wanaonifuata fuata, i see them as rabbish.
Kilichonileta hapa jukwaani ni kwamba niko njia panda. Najua sina future na huyu mume wa mtu, na wala simsumbui sana japo ananisaidia sana katika mambo yangu. Hataki tuachane. Kila tunapokutana, ikifika muda wa kuagana huwa analia machozi, hataki tuachane. Nilivyoona hali hii inajirudia mara kwa mara nikamdadisi sana. Akiwa anatokwa na machozi akanisimulia maswahibu anayoyapata kwa mkewe. Ameniambia hawezi kumuacha mkewe kwa sababu ni ndoa iliyofungwa kanisani na kwa misingi ya kikristo haiwezekani kuachana, na pia kwa maslahi ya watoto hataki watoto wake wateseke kwa malezi ya mzazi mmoja. Kwa hiyo yuko kwenye ndoa kama kuzuga tuu. kwa sababu za kimsingi naomba nisiziweke hapa sababu hizo. Ila kama ni kweli anachosema, basi hakuna ndoa pale.
Mwanaume amechanganyikiwa na penzi langu na hataki kitu kinachoitwa kuachana na mimi pia nampenda sana. Naomba ushauri wenu jamani nifanyeje ili niwe na maisha yangu mimi kama mimi na niwe huru. Nifanyeje akili yangu ikubali kuachana na huyu mwanaume na nifanyeje ili na yeye akili yake akubali kuachana na mimi?
:frusty:
Mhhhhhhhhh!
Nikiwa kama EXPERT WA WAUME ZA WATU, SHOSTI PO UMEUMIA NA UNAPIGWA CHANGA LA MACHO!!!!!!!! Hakuna cha kumuacha mkewwala upuuzi! Dudu hio ndo inamfanya aseme yote hayo na kutaka uendelee kumge mambo ya kikubwa bureeee kwa kumhurumia. Mwanaume anaweza hata kumtukana mzazi wake kama ndo utakacho ili utoe mambo hayo!
Hapo mapen hamna usanii tu wa kupeana mbo adimu baaaaaaas! We usijibwteke MCHUNEEEE UNYOOSHE MAMBO YAKO MSTARI AFU MWACHE AKAFIE MBELE HUKO! Hata dakika oja usisahau ANAKUTUMIA! Sasa UNATUMIKA VIPI JUU YAKO! We mtu mzima.
Mche unaoufanya wa KUTAKA KUJIBINAFSISHIA MUME WA MWENZIO JUMLA JUMLA SIO ISHU KABISAA! Kudokoa inaruhusiwa ila kukwangua ukoko kwenye sufuria ni kumbeep mpishi!
Mume wa mtu ukimpata jivinjari! Hana mpango na wewe jivinjari, anakudanganya jivinjari!!!!!!!!!!
. Akiwa anatokwa na machozi akanisimulia maswahibu anayoyapata kwa mkewe. Ameniambia hawezi kumuacha mkewe kwa sababu ni ndoa iliyofungwa kanisani na kwa misingi ya kikristo haiwezekani kuachana, na pia kwa maslahi ya watoto hataki watoto wake wateseke kwa malezi ya mzazi mmoja. Kwa hiyo yuko kwenye ndoa kama kuzuga tuu. kwa sababu za kimsingi naomba nisiziweke hapa sababu hizo. Ila kama ni kweli anachosema, basi hakuna ndoa pale:
Mhhhhhhhhh!
Nikiwa kama EXPERT WA WAUME ZA WATU, SHOSTI PO UMEUMIA NA UNAPIGWA CHANGA LA MACHO!!!!!!!! Hakuna cha kumuacha mkewwala upuuzi! Dudu hio ndo inamfanya aseme yote hayo na kutaka uendelee kumge mambo ya kikubwa bureeee kwa kumhurumia. Mwanaume anaweza hata kumtukana mzazi wake kama ndo utakacho ili utoe mambo hayo!
Hapo mapen hamna usanii tu wa kupeana mbo adimu baaaaaaas! We usijibwteke MCHUNEEEE UNYOOSHE MAMBO YAKO MSTARI AFU MWACHE AKAFIE MBELE HUKO! Hata dakika oja usisahau ANAKUTUMIA! Sasa UNATUMIKA VIPI JUU YAKO! We mtu mzima.
Mche unaoufanya wa KUTAKA KUJIBINAFSISHIA MUME WA MWENZIO JUMLA JUMLA SIO ISHU KABISAA! Kudokoa inaruhusiwa ila kukwangua ukoko kwenye sufuria ni kumbeep mpishi!
Mume wa mtu ukimpata jivinjari! Hana mpango na wewe jivinjari, anakudanganya jivinjari!!!!!!!!!!
Bhuuuu....
Una bahati umekutana na mianaume mibweg.e Mie mme wa mtu na sichuniki kivile. Nakugegeda na hela yangu utaisikia tu. Hongera unakutana na midume mibweg.ee K zilivojaa hapa mjini, we chuna tu huko Temeke.... Tuliozaliwa hapo Ocean Road utatusikizia Chuda tumetekwa na watoto wa kitanga...
KOKUTONA Na Ennie msije hili jukwaa la wakubwa
Fidel80 kwa ajili ya kumbukumbu ya chama.
1 Wakorintho 6:9-10
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
[SUP]9 [/SUP]Je, hamjui kwamba wasio na haki hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike, waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wapotoshaji; [SUP]10 [/SUP]wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walevi, wala wanaodhihaki, wala wanyanganyi.
Bhuuuu....
Una bahati umekutana na mianaume mibweg.e Mie mme wa mtu na sichuniki kivile. Nakugegeda na hela yangu utaisikia tu. Hongera unakutana na midume mibweg.ee K zilivojaa hapa mjini, we chuna tu huko Temeke.... Tuliozaliwa hapo Ocean Road utatusikizia Chuda tumetekwa na watoto wa kitanga...
KOKUTONA Na Ennie msije hili jukwaa la wakubwa
Fidel80 kwa ajili ya kumbukumbu ya chama.