Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhhhhhhh!
Nikiwa kama EXPERT WA WAUME ZA WATU, SHOSTI PO UMEUMIA NA UNAPIGWA CHANGA LA MACHO!!!!!!!! Hakuna cha kumuacha mkewwala upuuzi! Dudu hio ndo inamfanya aseme yote hayo na kutaka uendelee kumge mambo ya kikubwa bureeee kwa kumhurumia. Mwanaume anaweza hata kumtukana mzazi wake kama ndo utakacho ili utoe mambo hayo!
Hapo mapen hamna usanii tu wa kupeana mbo adimu baaaaaaas! We usijibwteke MCHUNEEEE UNYOOSHE MAMBO YAKO MSTARI AFU MWACHE AKAFIE MBELE HUKO! Hata dakika oja usisahau ANAKUTUMIA! Sasa UNATUMIKA VIPI JUU YAKO! We mtu mzima.
Mche unaoufanya wa KUTAKA KUJIBINAFSISHIA MUME WA MWENZIO JUMLA JUMLA SIO ISHU KABISAA! Kudokoa inaruhusiwa ila kukwangua ukoko kwenye sufuria ni kumbeep mpishi!
Mume wa mtu ukimpata jivinjari! Hana mpango na wewe jivinjari, anakudanganya jivinjari!!!!!!!!!!
Yalikukuta au uko nayo?Ameen bidada.... Umemaliza!!!
Bhuuuu....
Una bahati umekutana na mianaume mibweg.e Mie mme wa mtu na sichuniki kivile. Nakugegeda na hela yangu utaisikia tu. Hongera unakutana na midume mibweg.ee K zilivojaa hapa mjini, we chuna tu huko Temeke.... Tuliozaliwa hapo Ocean Road utatusikizia Chuda tumetekwa na watoto wa kitanga...
KOKUTONA Na Ennie msije hili jukwaa la wakubwa
Fidel80 kwa ajili ya kumbukumbu ya chama.