I know am guilty, help me get out of this mess

Mchungaji anamuomba mungu yupi anayebariki muachane na bwana uliyezaa nae badala angemuomba mungu mmbariki ndoa? tazama umeachana na yule bwana ambaye mngeweza tatua matatizo na umeanza kuiba mume wa mtu b care mume wa mtu ni sumu, zinawatoka roho.
 
Mama huli hapo unaliwa tu.... goli tano pia ni ulafi, za nguvu na starehe sana huwa tatu baada ya hapo ni majasho tu

akikuchoka atatumia nguvu hiyohiyo anayotumia kitandani kukuacha

shtuka
 
Mhhhhhhhhh!

Nikiwa kama EXPERT WA WAUME ZA WATU, SHOSTI PO UMEUMIA NA UNAPIGWA CHANGA LA MACHO!!!!!!!! Hakuna cha kumuacha mkewwala upuuzi! Dudu hio ndo inamfanya aseme yote hayo na kutaka uendelee kumge mambo ya kikubwa bureeee kwa kumhurumia. Mwanaume anaweza hata kumtukana mzazi wake kama ndo utakacho ili utoe mambo hayo!

Hapo mapen hamna usanii tu wa kupeana mbo adimu baaaaaaas! We usijibwteke MCHUNEEEE UNYOOSHE MAMBO YAKO MSTARI AFU MWACHE AKAFIE MBELE HUKO! Hata dakika oja usisahau ANAKUTUMIA! Sasa UNATUMIKA VIPI JUU YAKO! We mtu mzima.

Mche unaoufanya wa KUTAKA KUJIBINAFSISHIA MUME WA MWENZIO JUMLA JUMLA SIO ISHU KABISAA! Kudokoa inaruhusiwa ila kukwangua ukoko kwenye sufuria ni kumbeep mpishi!

Mume wa mtu ukimpata jivinjari! Hana mpango na wewe jivinjari, anakudanganya jivinjari!!!!!!!!!!

Hahahahaahaahaaaaa Lara 1 aisee ww ni noma sana, eti kukwangua ukoko kwenye sufuria ni kumbeep mpishi,
 
Bhuuuu....

Una bahati umekutana na mianaume mibweg.e Mie mme wa mtu na sichuniki kivile. Nakugegeda na hela yangu utaisikia tu. Hongera unakutana na midume mibweg.ee K zilivojaa hapa mjini, we chuna tu huko Temeke.... Tuliozaliwa hapo Ocean Road utatusikizia Chuda tumetekwa na watoto wa kitanga...

KOKUTONA Na Ennie msije hili jukwaa la wakubwa

Fidel80 kwa ajili ya kumbukumbu ya chama.

Mpwa nipe summary
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom