Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
- Thread starter
- #41
matumaini yaweke usihofu
penzi huhimili vishindo vyote........
matumaini yaweke usihofu
Una Range rover,umeshajenga nyumba na una tembo card master card?
Yeye sio material gal coz tayari yuko fiti kwa kila kila na amejikamilisha kbs,akiyakazania hayo moyo wangu utamhama kiujumla.................if she is a material gal..................my heart will not surrender unto her.......it is a deal and a covenant I shall never attempt to break.........
siskii kabisa wagambaki ruta?
kwani hunaRange rover, nyumba na tembo card master cardakiyakazania hayo moyo wangu utamhama kiujumla.................if she is a material gal..................my heart will not surrender unto her.......it is a deal and a covenant I shall never attempt to break.........
Yeye sio material gal coz tayari yuko fiti kwa kila kila na amejikamilisha kbs,
Hayo ni maswali yangu km mpambe ninayetaka kujua umejiandaa andaaje?
Ishu ya moyo tayari umeshazima kwake ndio maana upo hapa tayari na ninakupigia debe!
kwani hunaRange rover, nyumba na tembo card master card
Agambile 'nakukunda'
matumaini yaweke usihofu
Ruta hangover ya 'nguli' naona haijaisha maana bado unaweweseka!Pole, lakini wanawake wa mjini utawaweza weye? Katafute wa kanyangereko ndugu yangu hawa wa masaki watakutia wazimu bure.acha ngebe nipigie debe kwa Smile anikubali lol...................
kama nataka maziwa kwanini nifuge ngombe wakati maziwa yapo mtaani kibao mapipa kwa masim tanki yamejaa?kama ninavyo ujue hutakuwa pekee yako...............ni vyema tukaanza kuvitafuta tukiwa sote..............waonaje hapo?
Ruta hangover ya 'nguli' naona haijaisha maana bado unaweweseka!Pole, lakini wanawake wa mjini utawaweza weye? Katafute wa kanyangereko ndugu yangu hawa wa masaki watakutia wazimu bure.
tajiti hii wkend tunatokajeRuta hangover ya 'nguli' naona haijaisha maana bado unaweweseka!Pole, lakini wanawake wa mjini utawaweza weye? Katafute wa kanyangereko ndugu yangu hawa wa masaki watakutia wazimu bure.
Unataka kumzunguka mwenzio apigwe chini halafu wewe ulambe mzigo. Ruta achana na maneno ya Bishanga ngoja nimwite mke wangu Sweetylady amshawishi huyu binti
Kumbe na wewe umemshtukia bishanga eeh?? Leo mwekeeni kauzibe kabisa, atazoea kuharibia wenzie.......after all siku hizi kafulia!! Lol
halafu nakupendaje twende chumbani kidogoShem ujue tayari tumesha andaa posa tunaomba utukaribishe
embandule?
halafu nakupendaje twende chumbani kidogo
ejo nemulokola, sana kalaba yanywa orubisi.