Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
mwenzangu sijui nimemfanyeje kijana wa watu ngoja nimtafuteMamito Smile popote ulipo njoo huku Ruta anakutafuta mapigo yake ya moyo yako speed mbaya juu yako!njoo umsikilize kilio chake!
mwenzangu sijui nimemfanyeje kijana wa watu ngoja nimtafuteMamito Smile popote ulipo njoo huku Ruta anakutafuta mapigo yake ya moyo yako speed mbaya juu yako!njoo umsikilize kilio chake!
mkuuu? khaaa mama yanguNipo nae huku Tunajamiiana, n she is so serious on da point, she respond +vely on each issue i introduced. She is the best ofcourse (SMILE keep on Smiling)
NOTE:kujamiiana- kufanya shughuli za kijamii pamoja(sociology)
mwenzangu sijui nimemfanyeje kijana wa watu ngoja nimtafute
siskii kabisa wagambaki ruta?
umesema tunajamiiana?Umerudi eeh...
Mamito Smile popote ulipo njoo huku Ruta anakutafuta mapigo yake ya moyo yako speed mbaya juu yako!njoo umsikilize kilio chake!
Mmmmh, ruksa kufanya mpendavyo kwa afya za matumbo yenu.
umesema tunajamiiana?
Afadhali mpnz,mtafute maana tangu mda mrefu hapa anakutafuta umsmilie na kuutuliza moyo wake kijana wa kihaya!ila vigezo na masharti kuzingatiwa shosti!
mkuuu? khaaa mama yangu
mwenzangu sijui nimemfanyeje kijana wa watu ngoja nimtafute
inawezekana ikawa kweli lakini sijuiKheri umkane mapema nisije nikatokwa na chozi la kuzidiwa nguvu.............
siskii kabisa wagambaki ruta?
inawezekana ikawa kweli lakini sijui
Nafurahai km umekunika lol!Yaani Cantalasia wewe umenikuna pia kwa hili debe hata madada wangu hawawezi kukufikia.......
Nafurahai km umekunika lol!
Usijali nitafurahi sana ukifanikiwa,ila umejiandaaa andaaje?
"Be good to the people on your way up,coz you might meet them on your way down"
matumaini yaweke usihofuinawezakna mmejamianaa lakini hujui......................mbona umefifilisha matumaini yangu kwako kiainaaina hivyo..........
Una Range rover,umeshajenga nyumba na una tembo card master card?kujiandaa kwa vipi silaha zote ninazo.............au kuna maandalizi mengineyo