I hope Smile is smiling at me right now!!!!!!!!!

Nipo nae huku Tunajamiiana, n she is so serious on da point, she respond +vely on each issue i introduced. She is the best ofcourse (SMILE keep on Smiling)

NOTE:kujamiiana- kufanya shughuli za kijamii pamoja(sociology)
mkuuu? khaaa mama yangu
 
Mamito Smile popote ulipo njoo huku Ruta anakutafuta mapigo yake ya moyo yako speed mbaya juu yako!njoo umsikilize kilio chake!

angalau mmeanza kunipigia debe....................ninafikiri nitafanikiwa safari hii.......lool
 
Afadhali mpnz,mtafute maana tangu mda mrefu hapa anakutafuta umsmilie na kuutuliza moyo wake kijana wa kihaya!ila vigezo na masharti kuzingatiwa shosti!

Yaani Cantalasia wewe umenikuna pia kwa hili debe hata madada wangu hawawezi kukufikia.......
 
inawezekana ikawa kweli lakini sijui

inawezakna mmejamianaa lakini hujui......................mbona umefifilisha matumaini yangu kwako kiainaaina hivyo..........
 
Back
Top Bottom