I don't call it cheating, I call it having a plan B...

Kweli kabisa .



Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati unafanya hizo plan ukumbuke kuna Mungu, na cheating is a SIN na duniani tunapita tu na kifuatacho ni hukumu. Tusiishe as if kesho yetu tunaijua
 
Wakuu lengo sio kuhalalisha dhambi. Inafikia moment moyo wako unakua daraja la kupitia watu we upo tu na kama unavyoelewa maumivu ya mapenzi yalivyo ndio maana nikasema ni heri kua na ka contingency plan pembeni
Wakati unafanya hizo plan ukumbuke kuna Mungu, na cheating is a SIN na duniani tunapita tu na kifuatacho ni hukumu. Tusiishe as if kesho yetu tunaijua
binadamu tunapenda kuhalalisha dhambi........shetani hana kazi tena....zaidi ya kuvunja madaraja,,,, amehakikisha manager wa tanroad kasimamishwa kazi yeye roho yake kwatuuu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…