Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Mke wa sugu kaolewa mara mbili na zote na wadau.

Maana yake ana cha ziada maana wengine hata mara 1 hawaipati
Daaah ukweli mchungu, siku hizi ukiona mdada wa 30+ plus anaolewa ni mdada mdada kweli sio Mwajuma wa vichochoroni huko Chanika
 
Mke wa sugu kaolewa mara mbili na zote na wadau.

Maana yake ana cha ziada maana wengine hata mara 1 hawaipati
Eeh mwanamke ana brains ukiona hivyo!. Licha ya yote ila kama zina chaji na hana ushamba wanaume hatunaga vipingamizi!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu usawa utaupata peponi tu! Duniani ni vita tu mpaka tuumalize mwendo. Yani unalazimisha kabisa na shepu yako ya gunia[emoji28]

Utashangazwa sana na mchepuko wa mumeo[emoji1787]
Mke wa van vicker naye wa kawaida ila mumewe anajitahidi sana kucheza nafasi ya mume. So msijitetee hapa eti kisa shep ya kabati. Pendeni wake zenu kama mmeamua kuwaoa
 
Daaah ukweli mchungu, siku hizi ukiona mdada wa 30+ plus anaolewa ni mdada mdada kweli sio Mwajuma wa vichochoroni huko Chanika

Wanaume washagundua kama wanawake wanakuja kwenye ndoa ili kutake advantage ya divorce mbeleni. Sasa ili kujilinda funga ndoa na anaechangia pato la familia pia. Ili divorce ikitokea usile hasara kubwa kwenye mgawanyo.

Tofauti na mwajuma ndala ndefu yeye anachangia kupanua mapaja tu na kwenye divorce anataka zaidi ya mapaja aliyochanua
 
Mke wa van vicker naye wa kawaida ila mumewe anajitahidi sana kucheza nafasi ya mume. So msijitetee hapa eti kisa shep ya kabati. Pendeni wake zenu kama mmeamua kuwaoa
Mke wa Van Vicker lazma ana la ziada na mara nyingi ni working brain inayo attract wealth while it stays calm and give you peace of mind!
 
Wanaume washagundua kama wanawake wanakuja kwenye ndoa ili kutake advantage ya divorce mbeleni. Sasa ili kujilinda funga ndoa na anaechangia pato la familia pia. Ili divorce ikitokea usile hasara kubwa kwenye mgawanyo.

Tofauti na mwajuma ndala ndefu yeye anachangia kupanua mapaja tu na kwenye divorce anataka zaidi ya mapaja aliyochanua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hehehe mapaja tena
 
Ukiweza fanya hilo kwa usahihi you are just a few yards to a man of your life. Wanawake wengi they are gold digging halafu wanajishangaa mbona inakuwa ngumu wao kuolewa.
Hapa umechanganya habari na wewe
Kuna kupewa value ya 5 star na kuolewa ...which is which sijaelewa. Hapa tunaongelea value mwanamke anayopewa na mwanaume ambapo wewe umesema value inaendana sana na daraja la mwanamke alilojiweka hasa hasa kiuwezo japo mengine yapo pia (ulitoa mfano wa akina mwajuma wa tuma nauli).
 
Hebu angalia UNYAMA MWINGI WA HUYO MZEE....Mwanaume ukiwa na pesa lazima uonekane waa maana ....View attachment 2123478View attachment 2123481View attachment 2123479View attachment 2123480
707fed126223b801fe1a3e736eafbf2b.jpg
View attachment 2123482
 
Hulikuwa hulijui..fuatilia harusi nyingi kubwa uone hao wanawake cv zao kiuchumi zikoje. Mfano page ya mc garab chek mabibi harusi wake kifedha
Dah yani wale wadada mizawadi wanayowapa waume ni next level
 
Mwajuma ndala ndefu anachangia nini zaidi ya mapaja.. yeye kutwa nzima kujifunza jinsi ya kumridhisha mume.. kila siku anahudhuria kitchen party tu. Style mpya kila siku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] lakini si kwaajili ya kukufurahisha wewe jamani, unapata hata wasaa wa kuconcetrate kwenye mambo yako ya kutafuta hela
 
Wanaume washagundua kama wanawake wanakuja kwenye ndoa ili kutake advantage ya divorce mbeleni. Sasa ili kujilinda funga ndoa na anaechangia pato la familia pia. Ili divorce ikitokea usile hasara kubwa kwenye mgawanyo.

Tofauti na mwajuma ndala ndefu yeye anachangia kupanua mapaja tu na kwenye divorce anataka zaidi ya mapaja aliyochanua
Kmamamqe yaan hapa makamanda wengii tumekula sanaa Mizingaa...
Ng'onda mmoja arufu kama beberu nae anataka pasu kwa pasu kwenye Divorce mi nakulaza horizontal wazazi wako wakaweke matanga kwenu hukoo maninengaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata ile mizee yenye pesa bado inakamia wake zao . Unakuta zee lina mipesa ila mke daily ni tabu tupu.
Mkuu nakuombea pesa utapata nyingiii hadi uzichoke. Ila ukizipata mamiloo apande private jet
 
Back
Top Bottom