Huyu Presenter wa Clouds hana maadili

Huyu Presenter wa Clouds hana maadili

CMT

Senior Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
172
Reaction score
87
Clouds fm ni station ambayo siielewi, kuna mtangazaji nimemsikia anawadhihaki vijana wetu eti kama ulivaa joho na mpka leo hujapata kazi basi hilo lilikuwa dela, msilete masihara wakati vijana wetu wako mtaani na hawana ajira, huna ethics za utangazaji mpuuzi sana siyo kauli za kuongea kwenye media.
 
Mbona hiyo message inasambaa sana kwenye group za whatsapp hujasema?
Kama limekugusa tulia,ukweli ndiyo huo.
 
Clouds fm ni station ya kipumbavu I can say that, kuna mtangazaji nimemsikia anawadhihaki vijana wetu eti kama ulivaa joho na mpka leo hujapata kazi basi hilo lilikuwa dela, msilete masihara wakati vijana wetu wako mtaani na hawana ajira, huna ethics za utangazaji mpuuzi sana siyo kauli za kuongea kwenye media.
Inaweza ikawa ndo Mara yako ya kwanza kuusikia huu msemo...
 
Ndo mara ya kwanza kwa kweli nilifungulia hyo station bila kujijua wkt npo njiani leo asubuh ndo nikasikia..duuh kumbe wenzang mshauzoea
 
Clouds fm ni station ya kipumbavu I can say that, kuna mtangazaji nimemsikia anawadhihaki vijana wetu eti kama ulivaa joho na mpka leo hujapata kazi basi hilo lilikuwa dela, msilete masihara wakati vijana wetu wako mtaani na hawana ajira, huna ethics za utangazaji mpuuzi sana siyo kauli za kuongea kwenye media.
Hata mimi sijapenda tabia zao pia Kile kituo wajinga wengi sana wamepubanzwa na Jongo Papai Mkaa. Kuna kipindi tuliwapiga marufuku kufika UDSM kwasababu ya ujinga Wao. Mbwaaaa hao.
 
Tuwe wakweli watangazaji/waandaji wa vipi Clouds ni MAZUZU hawana uelewa wa wanachokifanya.
Kwa kifupi ni MAJUHA hasa hasa wanajipendekeza kwa akina Makonda na vitu kama hivyo.....kwa ujumla ni wapuuzi yaani ni VILAZA.
Naweza kusema ni station mbovu isiyo na MAADILI hapa nchini.
NAWAPA POLE SANA AMBAO BADO WANAFUATILIA VIPINDI VYAO
 
  • Thanks
Reactions: CMT
Ko tusi mpka utukanwe wewe, akitukanwa mwengine siyo tusi.
Hapo hakuna tusi zaidi ya ukweli.
Tatizo Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Najua umechukualia hayo maneno kama yalivyo ila nakushauri kaa chini utafakari yeye alimaanish nini.

*ZINGATIA*
kama ww ni mwanaume ulivaa joho na bado upo nyumban.

Believe me my braza
lile ni dera.
 
Back
Top Bottom