Mhakiki
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,389
- 2,116
Hii ya sasa hata ikipewa penat inapiga nje badala ya golkik mpira unakuwa wa kurusha.....
.....kweli ila hii ya sasa kama ya tukuyu star
Hii ya sasa hata ikipewa penat inapiga nje badala ya golkik mpira unakuwa wa kurusha.....
.....kweli ila hii ya sasa kama ya tukuyu star
Alipewa miaka 20 akashindwa 2 itamtosha?HAMNA POGBA YUKO FRESH TU SEMA WABONGO TUNABEBEWA SANA AKILI ZETU NA TUNATUMIKA KWA KUDANGANYWA NA MAKOCHA WA TIMU PINZANI KAMA HATUKO TIMAMU. KWA KIFUPI MAKOCHA NA VIONGOZI WA TIMU PINZANI WAMESHINDWA KUFUNDISHA NA KUENDESHA SOKA LA UKWELI,WAMEBAKI KUFANYA POROJO TU WANAPOKUWA HUKO CNN,SKY NEWS,BBC NK! ILA POGBA KIWANGO BADO KIPO CHA KUELEWEKA TU. HALAFU YATUPASA TUMPE JAPO HATA MIAKA MIWILI HUYU POGBA!!
Kabla ya pogba waliona luic nani hafai wakamwondo leo wanajutaBt nami nimedigest shida sio POGBA, shida ni MANCHESTERtuiondoe kwenye league hii timu!
Kama wanaompa taarifa wanamdanganya, akipita hapa anaweza kuona wahariri na wanahabari wanamsaidia aelewe hali ya kitaa. Mkulu aliwaomba wahariri na wanahabari waisadie serikali. Hiyo taarifa sikuitayarisha, nimeiwasilisha tu kama ilivyoripotiwa.UMEAMUA KUWEKA MAMBO HADHARANI![]()
![]()
Halafu huagiza refa atoe kadi ya rangi ya jezi yake kwa kipi na mabeck wa timu pinzan ili apate mteremkoPogba nasikia anajiapiza kuzinyoosha timu kwa kufunga magoli mengi huku kumbe anatoa kitu kidogo kwa makipa....kama vile 10m ili apewe magoli ya chee
Pogba hajui kingereza anashindwa kubadili uzoefu na wachezaji wa kimataifa ndiyomaana anan'gan'gania soccer la matopeni.

Kila mtu bila shaka anajuta......ile fowadi ilikuwa dhaifu ila ilikuwa inasukuma mashambulizi kwenda mbele.......

!!!!!!!!!!????????????????Wanajamvi mtakumbuka wakati wa usajili tuliambiwa hii timu yetu sasa inasajili bonge la fowadi anayekuja kumaliza matatizo yote.
Hata kuingia kwake ktk timu alikuja na mbwembwe kibao, Mara kufanya mazoezi ya ghafla klabuni usiku au mchana akiwa na waandishi Wa habari ili mradi ajioneshe tuu kwa mashabiki kuwa anauwezo.
Cha kushangaza ligi ilipoanza ameanza kuja na Masharti kibao klabuni eti ili aonekane kuwa yeye ni mchezaji mzuri kuliko Wa timu pinzani tumtimizie mambo yafuatayo.
1. Mabeki wa timu pinzani wote wafungwe miguu na mikono wawapo uwanjani.
2. Timu yetu iwe inapewa penati kila mechi na marefa ili yeye awe mfungaji bora.
3. Timu pinzani zisiruhusiwe kuleta mashabiki uwanjani.
Sasa wenye Akili hapa klabuni tukaanza kuhoji huyu kweli ni fowadi au garasa?
Mbona fowadi tuliye muacha alikuwa anafunga magoli huku mabeki Wa timu pinzani wakicheza japo tulimuona kama kashuka kiwango?
Tena timu pinzani ziliruhusiwa kwenda kwa ndege helcopta au usafiri wowote kokote hapa nchini kuchukua mashabiki na kuwaleta uwanjani katika mashindano mbali mbali.
Uchumi Wa klabu umeshuka ghafla mashabiki hawana imani naye tena kabisa. Wanajiuliza fowadi gani hawezi cheza mechi za kimataifa anag'ang'ania mechi za mchangani tuu.
Huyu Pogba klabu imepata hasara kubwa Sana kwa kusajili mchezaji bila hata kuangalia uzoefu na historia yake hapa klabuni. Anazua hofu ubabe na kushabikia magoli ya mikono eti yawe halali kwa timu yake tuu.
afadhali hata Ashley YoungPogba huyu ni mchezaji hewa!Hana kiwango!
Tatizo yeye ni ni kiungo....
Wakati huo anataka kuwa forward.....
Wakati huo anataka kuwa beki........
Sometime anataka awe Goalkeeper...
Kumbe huyu Pogba ndo ana mambo ya kipuuzi kiasi hiki sijui kamati ya usajili ilijifikiria kusajili mchezaji asiejielewa kiasi hiki mpaka chipukizi hawapati nafasi ya kuonyesha viwango vyao huu ni ujinga sasa.Mchezaji gani huyu anapanic akiulizwa maswali magumu?
Afu ni mlagai, alisema amesitisha kutoa pasi kwa mda usiozidi miezi miwili, sasa inaenda kuwa miezi 6 na bado hajatoa pasi kwa wachezaji chipukizi,kazi zake kupiga danadana tu na kupaka mpira rangi, Huyu Pogba hafai kuwa hata mchezaji wa Machame Fc.